shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Cc shunieShambalai eeeh! Nilikuwa na rafiki yangu Mchungaji wa kike wa kanisa fulani hivi alikuwa Msambaa mweupe peee. Ndiye alinikomaza katika "neno". Shikamoo Tanga!!!♂️
♂️
♂️
Cc shunieShambalai eeeh! Nilikuwa na rafiki yangu Mchungaji wa kike wa kanisa fulani hivi alikuwa Msambaa mweupe peee. Ndiye alinikomaza katika "neno". Shikamoo Tanga!!!♂️
♂️
♂️
sinaga hayo mamboMnaniteta ee
Ndo hivyo...The lines can be crossed. Tuwe waangalifu. Mambo ya kanga moko umetoka bafuni kukoga halafu unainama mbele yangu kujipaka mafuta wakati Shedede mwenyewe yupo mbali safarini siyo mazuri...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
afu wewee
♂️
♂️
♂️
me nashika jembe juzi nilivyoenda tanga nilishika jembeMahari zao zikoje mkuu? Wanaweza kushika jembe au ni mayai kama Shunie wa getini Masaki?
faini jamaan mlipeAisee duh
ushawahi fika
Kule hata mbuzi tu, ila uvumilie tu, safari za lushoto huwa haziishi, kwa mwezi lazima aende hata mara moja au mbiliMahari zao zikoje mkuu? Wanaweza kushika jembe au ni mayai kama Shunie wa getini Masaki?
hivi neno gani sijaelewa mieCc shunie
Napapenda sana arushaKaribia mkuu..
Naamini utaenjoy ukifika chuga
Kushika na kulima ni vitu viwili tofautime nashika jembe juzi nilivyoenda tanga nilishika jembe
Napajua sana huko, mwisho wa mwezi huu nitakuwa hukoushawahi fika
Alikuwa na mchungaji mweupe pee wa kisambaahivi neno gani sijaelewa mie
Makapuku.!Humu ndani kuna utani fulani hivi amazing.
Kuna groups wanataniana saanaa na hakuna ubaya.
Makapuku wengine wakijaribu kutania baadhi ya pairs au couples salalee.
Tafsiri ya makapuku ni watu wenye mtazamo mmoja mwelekeo mmoja na malengo yaliyo sawa.
Sasa daah! Mkwara unakuwa mzito sana.
Makapuku ni stress free zone. Pole mliokwazika na utani wangu.
Bahati mbaya nmefkia hapo kuendlea mbele naona husna kajobolewa na mm nikawa najiandaa kisakolojia kuwa mbele najobolewa mnisamehe jamani mke mweee,dada Sakayo shem Leetukusamehe vipiiii mke mwee umefanya maksudi lipa faini

faini kwanza mke mwee msamaha badaeBahati mbaya nmefkia hapo kuendlea mbele naona husna kajobolewa na mm nikawa najiandaa kisakolojia kuwa mbele najobolewa mnisamehe jamani mke mweee,dada Sakayo shem Lee![]()
![]()
Alikua anamfundisha neno la Mungu au neno ganiAlikuwa na mchungaji mweupe pee wa kisambaa
Shimba ya buyenze huyo
Hahahahaaha
Tewe napo ushawahi pasikiaNapajua sana huko, mwisho wa mwezi huu nitakuwa huko
Haha shemela nawe una kaubishi nililima banaKushika na kulima ni vitu viwili tofauti
faini kwanza mke mwee msamaha badae
Shululu njoo unisaidie hku mke mweee kaniwekea ngumu