Makapuku Forum

Makapuku Forum

2b27fa4b7c55b6d1f44ac49fd8d15696.jpg
 
Shululu usimsaidie bagheshi kufukua makaburi.... Makaburi mengine hayafukuliki.
Ni aibu kwa mwanaume kumtongoza mke wa mtu mpaka anakushinda unabwaga manyanga na kuanza kumuita dada; na mumewe eti ndiyo anageuka na kuwa swahiba wako mkuu. Mtongozaji, mtongozwaji na mtongozewa wote majiganyanza katika hii ishu - something is not right.
 
Ni aibu kwa mwanaume kumtongoza mke wa mtu mpaka anakushinda unabwaga manyanga na kuanza kumuita dada; na mumewe eti ndiyo anageuka na kuwa swahiba wako mkuu. Mtongozaji, mtongozwaji na mtongozewa wote majiganyanza katika hii ishu - something is not right.
Mkuu nakupa vilivyoooo.....

Ngoja nimalize tizi hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom