Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Busara zako mkuu..Una mdomo mzuri sana na sijui ni kwa nini unauita bakuli. Usimkufuru muumba bana...
Tuwe huru kusemeshana bila kutishana wala nini, japo kwa heshima. Sioni tatizo katika hili. Na hii kwangu ndiyo appeal kubwa ya Makapuku. Tutaelewana katika kila jambo? Of course not lakini hata katika kutoelewana kwetu heshima na upendo vitajidhihirisha. Ndiyo maana umenisikitisha uliposema eti ni afadhali ufunge bakuli lako. Why? Sema tu kama una la kusema ali mradi usiporomoshe matusi kama hawa wageni wanaokuja huku mara moja moja na kuchafua hali ya hewa.
Na kama hujui wewe ni shemeji yangu kwa sababu Shedede ni rafiki na mtani wangu sana. Juzi juzi hapa kanishirikisha wazo moja zuri sana la ujasiriamali. Ni nani anayeweza kufanya hivi?
Kuanzia sasa nitaanza kukuita shemela na kukupa heshima zako zote za ushemeji. Husna, umenielewa?
Makapuku forever..
Jf forever..
One love forever..

♂️
na mkianza kutozwa hela na pedeshee lee mjue me ndio napokea