Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haya nifunge bakuli langu
Una mdomo mzuri sana na sijui ni kwa nini unauita bakuli. Usimkufuru muumba bana...

Tuwe huru kusemeshana bila kutishana wala nini, japo kwa heshima. Sioni tatizo katika hili. Na hii kwangu ndiyo appeal kubwa ya Makapuku. Tutaelewana katika kila jambo? Of course not lakini hata katika kutoelewana kwetu heshima na upendo vitajidhihirisha. Ndiyo maana umenisikitisha uliposema eti ni afadhali ufunge bakuli lako. Why? Sema tu kama una la kusema ali mradi usiporomoshe matusi kama hawa wageni wanaokuja huku mara moja moja na kuchafua hali ya hewa.

Na kama hujui wewe ni shemeji yangu kwa sababu Shedede ni rafiki na mtani wangu sana. Juzi juzi hapa kanishirikisha wazo moja zuri sana la ujasiriamali. Ni nani anayeweza kufanya hivi?

Kuanzia sasa nitaanza kukuita shemela na kukupa heshima zako zote za ushemeji. Husna, umenielewa?
 
Una mdomo mzuri sana na sijui ni kwa nini unauita bakuli. Usimkufuru muumba bana...

Tuwe huru kusemeshana bila kutishana wala nini, japo kwa heshima. Sioni tatizo katika hili. Na hii kwangu ndiyo appeal kubwa ya Makapuku. Tutaelewana katika kila jambo? Of course not lakini hata katika kutoelewana kwetu heshima na upendo vitajidhihirisha. Ndiyo maana umenisikitisha uliposema eti ni afadhali ufunge bakuli lako. Why? Sema tu kama una la kusema ali mradi usiporomoshe matusi kama hawa wageni wanaokuja huku mara moja moja na kuchafua hali ya hewa.

Na kama hujui wewe ni shemeji yangu kwa sababu Shedede ni rafiki na mtani wangu sana. Juzi juzi hapa kanishirikisha wazo moja zuri sana la ujasiriamali. Ni nani anayeweza kufanya hivi?

Kuanzia sasa nitaanza kukuita shemela na kukupa heshima zako zote za ushemeji. Husna, umenielewa?
sawa shemeji

Nimekuelewaa
 
Sakayo keshasema yupo na mimi ; its enough..

Afu pia wanaume huwa hatugombanii wanawake mkuu..

Umepiga sound umekuta ana mtu tayari...basi muache nenda zako.

Simple hivyo! And life goes..
Nani aliyegombania mwanamke hapa jombaa? Kama siyo wewe ulikuwa unalialia?

Demu wako huyo hajatongozwa wala nini mkuu. Sema umekuja kwa kasi ili uoneshe uanaume wako umekutana na bonge la gingi akabidi tu uwe mpole.
 
sawa shemeji

Nimekuelewaa
Mambo si hayo sasa...
2655098801039adb4373c1cee46bb1fc.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom