Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Naona shunie ananiitaMkuu vipii
Naona shunie ananiitaMkuu vipii
Nakuona Nakuona![]()
![]()
![]()
Nakuonaaa
ujue unachekesha kwahiyo herufi D ni kwa ajili ya Transcend tu ebu niache banaAsubuhi hukuona majina ya watoto wangu..
Unadhani Baba D ni nani?
Huyo mtu mwacheni kama alivyo asipate wa kukomenti wala kulike tuone kama ataendleaNgoja nikuache ukikua utaacha
AfadhaliYameisha mkuu..
Amani
uliniuliza lakini au nilitakiwa nisijibu nikae kimyaHata mimi Kakaako pia unanichenchia?
nimeipenda avatar yako husna huyo mdada
Kujibu sawa... Lakini kumbuka mcheza kwao..... ..uliniuliza lakini au nilitakiwa nisijibu nikae kimya
sawaKujibu sawa... Lakini kumbuka mcheza kwao..... ..
Ndio mie huyoonimeipenda avatar yako husna huyo mdada
ujue unachekesha kwahiyo herufi D ni kwa ajili ya Transcend tu ebu niache bana

Mmmmh!Zafanana magari ya Tanga enzi hizo
Lakini minung'uniko tofauti
ooh umependeza na rasta zako za kuzungushaNdio mie huyoo
shemela ujue huyu T sio mzima mtoto wetu ndio jina lake kwahiyo tumbadilishe au
umenifurahisha utakukutana na mazito zaidi ya hayoMmmmh!
nitajitahidi niwe kama wewe nisome mwanzo mwisho sijui nitaweza na uvivu huu
kusoma bila kuskipMuite G,uwe mama G na Lee baba Gshemela ujue huyu T sio mzima mtoto wetu ndio jina lake kwahiyo tumbadilishe au
Chuga nahisi pako pouwa...nina miezi 5 sijatia mguu chugaKwema kabisa, pwani pako poa sana, vip arachuga
hapana kitu hakiwezekaniki mtoto wetu jina lake linaanzia na DMuite G,uwe mama G na Lee baba G