Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
na we ni mwanae pia![]()
![]()
but mie Tumosa
na we ni mwanae pia![]()
![]()
but mie Tumosa
ndio ujionee mke mweeNamuona mke mweee
Lee ni mama dBasi shunieeee...
Weww ni mama D
Lee ni mama D
Sakayo ni mama D
Transcend ni baba D
Vina mwanzo mwishooo![]()

Mpaka Lee akamuonyaHuu ukaka umeanza lini? Juzi juzi tu Lee si alikuwa halali kwa ajili yako? Au umeamua kubadilisha gia ya kuingilia?
MkuuNani aliyegombania mwanamke hapa jombaa? Kama siyo wewe ulikuwa unalialia?
Demu wako huyo hajatongozwa wala nini mkuu. Sema umekuja kwa kasi ili uoneshe uanaume wako umekutana na bonge la gingi akabidi tu uwe mpole.
ndiwoooo shemelaNa sakayo wake naye ni D
Niko poa mkuuHusna wa Muba uko pouwa?
Naona umekata mzizi wa fitinaBasi shunieeee...
Weww ni mama D
Lee ni mama D
Sakayo ni mama D
Transcend ni baba D
Vina mwanzo mwishooo![]()
Isiwe kesi bhana..!tuheshimianeee huwezi muita Baba D wangu hivyo ujue Mama D ni wewe
Shambalai eeeh! Nilikuwa na rafiki yangu Mchungaji wa kike wa kanisa fulani hivi alikuwa Msambaa mweupe peee. Ndiye alinikomaza katika "neno". Shikamoo Tanga!!!apande tu shambalai akwende mwenyewe hawezi kupotea akajichagulie kama anavyofanya mswati
♂️
♂️
♂️Oooooooops!tuheshimianeee huwezi muita Baba D wangu hivyo ujue Mama D ni wewe
Mahari zao zikoje mkuu? Wanaweza kushika jembe au ni mayai kama Shunie wa getini Masaki?Itabidi shimba umpeleke Lushoto akachague vyeupe
Mnaniteta eendio ujionee mke mwee
Aisee duhtukusamehe vipiiii mke mwee umefanya maksudi lipa faini
Kausha basi shemejituheshimianeee huwezi muita Baba D wangu hivyo ujue Mama D ni wewe

Karibia mkuu..Next week nitakuwa chuga
Shambalai eeeh! Nilikuwa na rafiki yangu Mchungaji wa kike wa kanisa fulani hivi alikuwa Msambaa mweupe peee. Ndiye alinikomaza katika "neno". Shikamoo Tanga!!!♂️
♂️
♂️
