Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mlale salama wapendwa. Na wenye mipango ya kuwajaza wenzenu mkumbuke slogan ya tigo. Tuonane kesho Muumba wetu Akitujalia....
d2b496eab512a02fd0dc612fc8292363.jpg
Lala salama pia mkuu
 
YOELI 2

WITO WA TOBA

12."Lakini hata sasa" nasema mimi Mwenyezi -Mungu ,"Nirudieni kwa moyo wote ,kwa kufunga,kulia na kuomboleza.

13.Msirarue mavazi yenu kuonesha huzuni bali "Nirudieni kwa moyo wa toba."

Mrudieni Mwenyezi-Mungu ,Mungu wenu;yeye amejaa neema na huruma;hakasiriki upesi,ni mwingi wa fadhili daima yu tayari kuacha kuadhibu.


SHALOM !! NAWATAKIA USIKU MWEMA MBARIKIWE
 
Ila huwa kuna swali najiuliza sana..

Ukifika maeneo ya Soni njia panda ya lushoto na bumbuli..

Watu waishi sana kwenye miteremko na vilima..sijawahi kuona sehemu/njia ya private car kwenda kwa mtu.

Sasa najiuliza na kama kule watu hawmiliki magari au wana sehemu maalumu za kupark..

Watu wa bumbuli mnisielewe vibaya. Please.
Kule ni safu za Milima ya Usambara yaani Mombo hadi Lushoto--Mlalo
Watu wachache ndo wana private cars sababu ni ya kijiografia ila pia uchumi wa Lushoto upo chini
Angalia vigari vile vidogo kuliko hata Hiace ndo vinatamba kusafirisha watu Mombo hadi mjini japo Coaster zipo pia

Magari ni machache ndiyo maana pamoja na kuwepo na kona kali na barabara nyembamba ni nadra kukutana na ajali
.....
 
YOELI 2

WITO WA TOBA

12."Lakini hata sasa" nasema mimi Mwenyezi -Mungu ,"Nirudieni kwa moyo wote ,kwa kufunga,kulia na kuomboleza.

13.Msirarue mavazi yenu kuonesha huzuni bali "Nirudieni kwa moyo wa toba."

Mrudieni Mwenyezi-Mungu ,Mungu wenu;yeye amejaa neema na huruma;hakasiriki upesi,ni mwingi wa fadhili daima yu tayari kuacha kuadhibu.


SHALOM !! NAWATAKIA USIKU MWEMA MBARIKIWE
Shalom


Shalom


Amina! Asante kwa sala
 
YOELI 2

WITO WA TOBA

12."Lakini hata sasa" nasema mimi Mwenyezi -Mungu ,"Nirudieni kwa moyo wote ,kwa kufunga,kulia na kuomboleza.

13.Msirarue mavazi yenu kuonesha huzuni bali "Nirudieni kwa moyo wa toba."

Mrudieni Mwenyezi-Mungu ,Mungu wenu;yeye amejaa neema na huruma;hakasiriki upesi,ni mwingi wa fadhili daima yu tayari kuacha kuadhibu.


SHALOM !! NAWATAKIA USIKU MWEMA MBARIKIWE
nawe pia mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom