Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
PamojaNa iwe njema kwenu pia
sana comrade...!!Wazungu nao ni viumbe kama waafrika![]()
![]()
![]()
Mmoja kati ya viungo andunje mafundi
Licha ya kushinda kila kitu kwenye ngazi ya klabu mwaka huo na kufika fainali World Cup pale Sauzi na kupigwa na Hispania extra time kwa goli pekee la Iniesta lakini akanyimwa Ballon D'or na kupewa "watu wale"
Samtaimu inaboa
......
Pamoja mkuuAsante kwa leo katika historia mkuu musolini
Uko sahihi!![]()
![]()
![]()
Wengi wakisikia Kennedy moja kwa moja hujua ni JFK
Ni kweli inachanganya maana wote waliuawa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti na miaka tofauti
RFK aliuawa wakati akigombea urais
JFK aliuawa wakati akiwa Rais
Matukio yote hayo CIA wanahusishwa
.......
METHALI 16

Mafisango mwenyewe washamsahau![]()
![]()
![]()
Ni siku maalum ya kuenzi mchanga wa watu mbalimbali walioshiriki kulipigania taifa hilo na hata waliolitangaza kimichezo![]()
Mashabiki wa Simba mnamkumbuka marehemu Abel Dhaira ?
.......
Safi sanaMultipurpose talents
BarikiwaMakapuku baadaye kidogo
Vipi LeeJaman
Praying for you always...Be Blessed in the name of the most highSalamaa..
Your prayer please

Mungu ni mwema anatupaisha..from glory to gloryMama mchuchu wa Werrason
Kwema?
tunamshukuru,tunamheshimu,tunamtukuza utukufu una yeye mfalme wa Amani
Ubarikiwe kwa Nukuu T wa SakayoNUKUU YA LEO
Great things in business are never done by one person. They're done by a team of people.
Vitu vikubwa kwenye biashara havifanywi na mtu mmoja, huwa vinafanywa na timu ya watu.
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanasansi, na mgunduzi computer za Mac Bwana Steve Jobs
Steve Jobs alizaliwa tar. 24/2/1955 mjini california nchini marekani na kufariki october 5 2011 akiwa na miaka 56.
Steve Jobs alizaliwa na wazazi wenye asili ya Syria na kuasiliwa na wazazi wa kimarekani waliomlea wakati wa utoto wake.
Steve Jobs atakumbukwa kuwa ni moja School drop-out kama kina Marck Zukerberg wa Facebook na baadhi ya matajiri wengine walioacha shule na kufanya kile walichokipenda na kuamini kuwa ndio sehemu ya mafanikio yao.
Steve Jobs alifariki kwa cancer ya Ini. Ila pia ukumbukwe Jobs alikuwa anatumia sana marijuana na LSD kama sehemu ya starehe..
![]()
![]()
![]()
Kuna mengi ya kuandika na kijifunza kutoka kwa Steve Jobs lakini kwa leo niishie hapa.
Morning wakuu.

Mbarikiwe Ramadhan KareemInsha Allah
Leo ni chungu cha 14
Mola azidi kututia nguvu
Ni faraja iliyoje mtoto kuona wazazi wake wakiwa na love ya dhati
I feel it

Am BlessedAmen.....the same to you Mtumishi wa Mungu.