Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante mkuu kwa nyongeza ...

Kwanza mkuu nikukumbushe liver sio enzyme bali inazalisha na kutunza enzyme

Ini ni kiungo kikubwa kuliko organ zote ndani ya mwili na kiukweli inafanya kazi kubwa sana ..katika ya essentil body part yenye umuhimu ni Ini hii ni kutokana na kazi zinazofanywa na ini ...

Bhinadamu kila mara mwili unahitaji nguvu na nguvu zinatoka na vyakula tunavyokula na huwezi jua kipi cgakula unachokula ni salama au vip ...

Baada ya atua ya mwanzo ya mmengenyo wa chakula hasa mdomoni chakula kikiingia tu mwili ini ufanya kazi ya detoxification au kuharibu kipi hakihitajiki na kipi kinahitajika ...

Ini inazalisha bile, ila bile sio enzyme .. inayotunzwa na gallbladder na hii ndo kama major activator ya liver kwenye detoxification na endapo ikipungua ndo hasa magonjwa ya ini yanaonekana

Mbali na hiyo ini inazalisha Bilirubi , choresterol hormone hasa kupambana na mafuta ...wala chips hapa tusamehe mafuta yansyotumika ini haiusiki nayo...usishangaeee

Lakin ini inasaidia kuactivate enzymes pamoja ns kutunza glyolcogen hapa likifeli magonjwa kama kisukari yatakusumbuaa sana .....

Asante mkuu ...
Vizuri sana katibu
 
1985 - Sonam Kapoor anazaliwa.

Ni mwanamitindo na actor wa filamu toka nchini India.
e59ef982532137e9877e87c1fb3594da.jpg
bb3e68950bc7f2cb21ca14e8c85a6e1d.jpg
eef6ca00b1662d0f76c5d37ad9b68ab5.jpg

Huko kwenye riadha ameshawahi kutwaa medali siyo tu kusindikiza

Filamu zake za karibuni ni Neenja (2016) na Prem Ratan Shan Pato {2015)
........
 
1984 - Wesley Sneijder anazaliwa.

Kiungo wa Kiholanzi ambaye amewahi kukipiga Inter Milan, Ajax na Real Madrid.

Ametwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2010 akiwa na Inter Milan ya Jose Mourinho.
733f4e609ff26249815174f49ab4ad20.jpg
f6cfaa1debe64e6af822a5aa8f6f0316.jpg
6cfd2bcdf96bc840033a9f4a53eddcee.jpg

Mmoja kati ya viungo andunje mafundi
Licha ya kushinda kila kitu kwenye ngazi ya klabu mwaka huo na kufika fainali World Cup pale Sauzi na kupigwa na Hispania extra time kwa goli pekee la Iniesta lakini akanyimwa Ballon D'or na kupewa "watu wale"
Samtaimu inaboa
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom