Makapuku Forum

Makapuku Forum

1978 - Miroslav Klose anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndio mfungaji wa kihistoria katika mashindano ya Kombe La Dunia.
Jamaa huyu ana historia yake Ujeruman upande wa kimichezo ameisaidia sana timu ya taifa kwani kama sikosei katika mechi 137 aliifungia mabao 71

Aliisaidia Ujeruman mwaka 2002 kwenye kombe la dunia make nakumbuka lile goli lake dhidi ya Albania lilikuwa bonge la mnazii ,, ukiachilia mbali hat trick yake ya kwanza dhidi ya israel na ikumbukwe hapa Germany aliuua 7-1 ....

Asante mkuu
 
1978 - Shandi Finnessey anazaliwa.

Alikuwa ni Miss USA 2004.
0ac1be120c362a6b878e7538945ce4a6.jpg
162d5a3f94a513646ac838fef14cfcb1.jpg
661273c190b6a8bd2c21ce5a9c39e2b3.jpg
 
Binadamu ana figo mbili,mapafu mawili ila ana ini moja tu
Kazi rasmi ya ini ni Kubreak protein
b97c775dd5516c7473617bd9bcb7a46f.jpg

Yaani ni an enzyme
Ila kibongobongo kila kitu tunachokula kina sumu nafikiri ini ndo linalosaidia pia kuua sumu km ilivyo kwa figo ambazo huchuja majitaka(mkono)
Magonjwa ya ini ni hatari maana likiharibika tu ni balaa japo huweza "kupandikizwa"
Kwahiyo ukiharibu ini utazidiwa na sumu sijui zaidi na kila utakapokula ndo unazidi kuliharibu zaidi na huwezi kamwe kuishi bila kula
Kifo kitakuita
NB:
Sikumbuki vizuri Biology
...,......
Upo vizuri mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom