Makapuku Forum

Makapuku Forum

1968 - Rais wa Marekano, Lyndon B. Johnson anatangaza siku moja ya maombolezo kufuatia kifo cha Seneta Robert F. Kennedy.
afed4589898ee5d3a06a4ea5c1ea2cc7.jpg
604d644e1ef602f81a5eb32a7a9388ed.jpg
0b13322853c35aa9583659e362523dc8.jpg

Wengi wakisikia Kennedy moja kwa moja hujua ni JFK
Ni kweli inachanganya maana wote waliuawa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti na miaka tofauti
RFK aliuawa wakati akigombea urais
JFK aliuawa wakati akiwa Rais
Matukio yote hayo CIA wanahusishwa
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom