Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Naomba mie ndo nitimize hilo jukumuAnatakiwa kunyongwa huyo
Naomba mie ndo nitimize hilo jukumuAnatakiwa kunyongwa huyo
Kumbe chatu mwenyewe ni wa kufugwaNashukuru tuu ulikuwa nae bega kwa bega..
Manake chatu wengi humu
AbeeSakayoooo!!
Tunamshukuru Mungu wazima karibu Madame SHamjambo?
Asante kwa ratibaWORLD FRIENDLY
Saa saba leo mchana tutafutane tuangalie burudani Brasil vs Argentina![]()
OKMtumwa hauawi sakayo. Umesahau?
Insha AllahTupo pamoja
asubuhi hii
Jumaa mubaraq
Hilo neno ni kwa hisani ya MkuluFerd ni nini mkuu? au ulitaka kuandika page?
Ni changamoto si kidogo, halafu mbaya zaidi mbele ya umatiID ya zamani bila shaka itakuwa ulishamtolea nje na sasa ameamua kujisulubu upya. Ila wanawake kusema kweli mna kazi. Imagine kutongozwa hivi kila siku. Mi ningekuwa napigana kila siku![]()
Kama Benito wa Mussolini alinyongwa hadharani why kwakoKumnyonga captain inahitaji ujasiri.

Tupo pamoja mwanangu Nyagei,asante kwa ratiba ubarikiweKwa udhamini wa BlessedHope na Sakayo
![]()

HakikaMuacheni bhinamu yangu bhanaa leo ijmaa mtanikosesha offer ya nyagiiii....msimvuruge kama maua tutapewa kwa wakat
AsanteGood morning Kapuku's
Soon tukapate ratiba ya mechi za leo
Nzuri tu shemeji yanguNzuri shem
Habari yako
MorningMorning le boss
Bila shaka kabisaNaomba mie ndo nitimize hilo jukumu
Pamoja mkuuSamahani mkuu nimeteleza.
Morning T wa Sakayo umeamshwaje? UbarikiweMorning fam
MmmmhSio kuolewa tuu..
Ana watoto 5 sasa