NUKUU YA LEO
Great things in business are never done by one person. They're done by a team of people.
Vitu vikubwa kwenye biashara havifanywi na mtu mmoja, huwa vinafanywa na timu ya watu.
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanasansi, na mgunduzi computer za Mac Bwana Steve Jobs
Steve Jobs alizaliwa tar. 24/2/1955 mjini california nchini marekani na kufariki october 5 2011 akiwa na miaka 56.
Steve Jobs alizaliwa na wazazi wenye asili ya Syria na kuasiliwa na wazazi wa kimarekani waliomlea wakati wa utoto wake.
Steve Jobs atakumbukwa kuwa ni moja School drop-out kama kina Marck Zukerberg wa Facebook na baadhi ya matajiri wengine walioacha shule na kufanya kile walichokipenda na kuamini kuwa ndio sehemu ya mafanikio yao.
Steve Jobs alifariki kwa cancer ya Ini. Ila pia ukumbukwe Jobs alikuwa anatumia sana marijuana na LSD kama sehemu ya starehe..
Kuna mengi ya kuandika na kijifunza kutoka kwa Steve Jobs lakini kwa leo niishie hapa.
Morning wakuu.