Makapuku Forum

Makapuku Forum

1980 - D'banj anazaliwa.

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria.
17322b859aa99f2a8a43213b7302c830.jpg
387f4e363118d91636188859f6566885.jpg
4433b054b72243860b80537fe6e5d2e0.jpg
 
Asante mkuu kwa nyongeza ...

Ini ni kiungo kikubwa kuliko organ zote ndani ya mwili na kiukweli inafanya kazi kubwa sana ..katika ya essentil body part yenye umuhimu ni Ini hii ni kutokana na kazi zinazofanywa na ini ...

Bhinadamu kila mara mwili unahitaji nguvu na nguvu zinatoka na vyakula tunavyokula na huwezi jua kipi cgakula unachokula ni salama au vip ...

Baada ya atua ya mwanzo ya mmengenyo wa chakula hasa mdomoni chakula kikiingia tu mwili ini ufanya kazi ya detoxification au kuharibu kipi hakihitajiki na kipi kinahitajika ...

Ini inazalisha bile inayotunzwa na gallbladder na hii ndo kama major activator ya liver kwenye detoxification na endapo ikipungua ndo hasa magonjwa ya ini yanaonekana

Mbali na hiyo ini inazalisha Bilirubi , choresterol hormone hasa kupambana na mafuta ...wala chips hapa tusamehe mafuta yansyotumika ini haiusiki nayo...usishangaeee

Lakin ini inasaidia kuactivate enzymes pamoja ns kutunza glyolcogen hapa likifeli magonjwa kama kisukari yatakusumbuaa sana .....

Asante mkuu ...
Upo sahihi mkuu
Dingi angu mdogo alipuliza sana fegi ujananani akiwa anakaribia "50s" ndo akaacha ila saratani ya ini ikamfuata km kawa na ilimmaliza kisawasawa yaani ni hatari jinsi inavtoua taratibu mtu unakonda hadi basi
........
 
Asante mkuu kwa kuongeza nyama.

Jamaa alikuwa anapiga drugs za kufa mtu na alishakiri kuwa ni mojawapo ya kitu anachokipenda kuliko vitu vyote..

Hizo dawa za LSD huwa zinatumika sana kutengeneza mazingira ambayo sio halisi..

LSD (lysergic acid diethylamide) hutmika katima mind control na na mind alteration..

Hizi dawa zimetumika pia na CIA kwenye project yao ya MKULTRA ..

Sasa Jobs alikuwa anazipenda hataree..

Goodmorning Balozi Bitoz.
Kweli kabisa mdau
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom