Makapuku Forum

Makapuku Forum

1978 - Miroslav Klose anazaliwa.

Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani.

Ndio mfungaji wa kihistoria katika mashindano ya Kombe La Dunia.
02409b426e47a1809c661325a286bba3.jpg
3f2cff6abb6631887a60ea38f34c790d.jpg
221d22a16d93fc1cc9f6f826f2464078.jpg

Jamaa ni mbaya kwa magoli ya vichwa
Haya wale mashabiki wa PELE mtuambie jamaa ana magoli mangapi kwenye kombe la dunia licha ya kushiriki mara 3 sijui 4 !!!
Pele goli zake 1000 kafungia mchangani tena enzi ambazo hakuna hata sheria ya offside
Brazil ndo timu iliyofunga magoli mengi kombe la dunia
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom