Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Ok Pamoja sana Madenge..Mkuu kuwa na amani
Nimemjibu aliyeniquote
Na ndo jibu la Mwisho
Usiku Mwema
........
Isue za kawaida bro..
Ok Pamoja sana Madenge..Mkuu kuwa na amani
Nimemjibu aliyeniquote
Na ndo jibu la Mwisho
Usiku Mwema
........
Muziki na Kukumbushana
Habari Makapuku wenzangu, ni siku nyingine tena inayoishilia, yeah, ikawa asubuhi, mchana na sasa ni usiku lakini kama mnavyoijua JF na Makapuku forum, unaweza kuta kuna sehemu saa hizi ni saa mbili asubuhi watu wanapata stafutahi (hili neno linaendana na astashahada?)
Well, kuna muda unakuwa unatamani uwe tajiri sana na wakati mwingine uwe kichaa usitozwe kodi, hayo ndo maisha. Kutamani sio kosa, kosa linakuja pale unapotamani kitu kwa husuda.
Usiku huu kwenye muziki na utamu wa gitaa, sina maneno mengi sana. Nakuletea mwanamuziki maaruu kabisa wa Afro-Zouk Oliver N'Goma almaarufu Oliva Ngoma.
Wengi tunamkubuka kwa sauti yake tu bila kujua jamaa alikuwa ni mpiga gitaa mkali tu na aliwahi kufanya muziki wa reggae japo si kwa kiwango kikubwa sana maana baadaye alimezwa na kazi yake ya ukameraman hadi pale alipokutana na mkongwe Manu Lima huko paris ambapo waliandaa album iliyofanya vema na akaendelea kutoa nyimbo nzuri hadi pale alipofariki mwaka 2010. Ndo maisha.
Hebu mcheki hapa na kibao chake Adia
hadi wakti mwingine tena watu wema wa Makapuku.
basi akikwambia anakupenda usiogope mke mwee au ulifkilia vipii jamanMe cmuogopi nshajua shemela wngu ucheshi umemzidia
Huyu sikuwahi kumsikia!6/Glenn Miller![]()
Alizaliwa Machi 1904
Alikuwa ni mwanamuziki wa Jazz na kiongozi bendi moja kubwa nchini Marekani....Moja ya vibao vyake ni In The Mood
Alitoweka Disemba 15 1944 wakati akitokea England kwenda Ufaransa kuongeza nguvu kwenye Ukombozi wa Paris
......
Atakuwa mwanaharakati piaMkuu sorry ..
Hivi alikuwa mwanamziki tuu?? Hapo mwisho kwenye ukombozi sijaelewa kidogo
Migodi yote Kuna viwanja vya ndegeYaaah kahama kipo cha ndege ndogo
HatukamatikiNadhani yeye ndiye mleta tangazo. Atajijibuje?
Achana naye usimpe kikiSijuii mkuu
Aisee9Richey Edwards![]()
![]()
Jina lake kamili ni Richard James Edwards...alizaliwa Desemba 22 1967 huko Wales
Alikuwa ni mwimbaji na mpiga gitaa wa bendi iitwayo Manic Street Preachers
Alitoweka Feb 1 1995 wakati akienda kukutana na msanii mwenza James Dean wa MSP ili waelekee USA kwenye ziara ta promosheni
Gari lake lilipatikana likiwa limetelekezwa karibu na Severn Bridge lakini kamwe halikuweza kusaidia chochote
.........
Usishangae sanausiniambie nimegaiwa bila kujijua
Haaaaahaaaa, Kawa kijana zaidiLooooooh shunie utanitoaa rohooo
Tuwe tunajulishana kwanza ndo ufanye maamuziii ...
Apa naongezea mlinzii
Pamoja sana Mkuu, umeweza kufanikisha top 10 japo tumekushtukiza.1/Joshua Slocum![]()
![]()
Alizaliwa Februari 1844
Alikuwa ni Mmarekani Mkanada ambaye alijihusisha na ubaharia na uandishi wa vitabu
Alitoweka November 14 1909 huko West Indies akiwa na boti yake
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
Aisee, hakuwa na ulinzi?7Harold Holt
.![]()
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 17 wa Australia...alizaliwa Agosti mwaka 1908
Alitoweka mnamo Disemba 17 1967 wakati akiogelea surf Beach pembezoni ya Portsea Victoria
Tangu hapo hakupatikana
.....
Asante Bitoz
Asante mkuu
Pamoja sana wadauAsante mkuu
Kampeni imepamba motoRudisha ya mwanzo tafadhari