Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
nipende hapo hapo baba d ussizidishe zaidi nitakufwaaa ndio nilivyo hivyo baba anguYaaan shuny ...
Sijui nikuoendejee zaidi ya hapo
nipende hapo hapo baba d ussizidishe zaidi nitakufwaaa ndio nilivyo hivyo baba anguYaaan shuny ...
Sijui nikuoendejee zaidi ya hapo
Mungu azidi kunitunzia jamaan kivuruge wanguMimi sasa ...
Huyu itakuwa alipotezwa na system.8Jimmy Hoffa![]()
![]()
Alizaliwa Feb 14 1913...alikuwa ni kiongozi wa Vyama vya Wafanyakazi huko Marekani
Pia alikuwa nimtunzi/mwandishi wa vitabu. ..na alikuwa ni Rais wa International Brotherhood of Teamsters (IBT}
Alitoweka July 30 1975 wakati akenda kukutana na viongozi wawili wa genge la MAFIA
Tangu hapo hajawahi kuonekana
.......
Umeamua kueka picha ako
Aiseeee kazi unayo mkuu..Sawa kiongoz
Ndio maswali ya kujiuliza kwa kina Mkuu.Ila kwakweliii ....
Mtu anapotea kama kuku
Aya yametokea wapii mkuu ??Siku zote upo kiNRGATIVE
Inaonekana km una kinyongo Fulani hivi dhidi yangu
Unavizia sehemu ambayo unataka nionekane mtu mbaya
Mbona mwenyewe kanielewa vizuri tu
Au kwako "uungwana" ni nini?
Hata kumshauri mtu atafute jibu lililojitosheleza mwenyewe ni kitu kibaya?
Sitaendeleza malumbano na mtu
Acha hizo
.......
Me cmuogopi nshajua shemela wngu ucheshi umemzidiakwani we humpendi mke mwee mbona umeogopa hivyo mjibu tu asante au utamjibu unampenda pia
Nipo na ntazid kuwepo...Mungu azidi kunitunzia jamaan kivuruge wangu
Aisee, kuna nguvu za giza sio bure!7Harold Holt
.![]()
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 17 wa Australia...alizaliwa Agosti mwaka 1908
Alitoweka mnamo Disemba 17 1967 wakati akiogelea surf Beach pembezoni ya Portsea Victoria
Tangu hapo hakupatikana
.....
Mkuu kuwa na amaniAya yametokea wapii mkuu ??
anyway ebhu yasiendelee nawaombaa...
Kama kawa boss..Mkuu uko poaa ??
Nawe pia ulale unono umuote mke mweeeeWakuu tuwe na usiku mwema...kesho panapo majaliwa
hapana Mussolin sio yanguUmeamua kueka picha ako
karibuni sana mke mwee me sio mchoyo kama we na shemela![]()
![]()
bac ss tutakuja Kula kwenu