Makapuku Forum

Makapuku Forum

Niombe kitu mdau, kila mmoja ana aina yake ya uandishi. Zipo source kadhaa zinatofautiana so, kwa hili. Ukipata muda hebu muandike huyu Cooper, una style nzuri ya kuandika na inavutia.

Well, ni jambo zuri ukiandika na ukaweka humu. Binafsi uandishi wako na suportives unanifanya nipende kusoma unapopost. Take your time buddy, hata aya tatu tu zinatunufaisha Makapuku
Mdau tatizo muda pia
Mfano asubuhi namsaidia Dikteta
Mchana /jioni naleta Je Wajua?(hii rahisi ni kutupia tu picha)
Usiku 10 kubwa
Yaani muda unabana fikiria pia nachunga mbuzi


Halafu vitu ninavyoandika/kuvileta nipo interest navyo sababu napenda kujifunza
Nisingekuwa nabanwa ningeweza kuandika makala ndefundefu
Yaani hata jumamosi na jumapili km ingewezekana
.........
 
Mpaka leo sijaona wa kumfananisha katika muziki wa zouk.

Ahsante umenikumbusha mbali


Asante mdau, Oliver kiukweli ni mkali na muziki wake hata ukiusikiza leo bado unaishi wakati huu.

Asante kwa kutembelea huku, ila wewe jamaa kwa kupiga ban tu miaka ya 2011, 12, 13 ulikuwa unaongoza. Asante kwa kutembelea Makapuku forum
 
Mdau tatizo muda pia
Mfano asubuhi namsaidia Dikteta
Mchana /jioni naleta Je Wajua?(hii rahisi ni kutupia tu picha)
Usiku 10 kubwa
Yaani muda unabana fikiria pia nachunga mbuzi


Halafu vitu ninavyoandika/kuvileta nipo interest navyo sababu napenda kujifunza
Nisingekuwa nabanwa ningeweza kuandika makala ndefundefu
Yaani hata jumamosi na jumapili km ingewezekana
.........


Poa poa, nakupata vilivyo, na na hapo kwenye interest ndo napaheshimu zaidi "Tunaandika Tunachopenda"

Usiku mwema
 
b04da252ccf277fbc92c5829f5dbfa39.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom