Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Robo? Yaani robo tatu nzima haipo?Mkuu aganza si unamuonaa ...jichange ni kama robo ya my shuny
Robo? Yaani robo tatu nzima haipo?Mkuu aganza si unamuonaa ...jichange ni kama robo ya my shuny
Kuandika makala kunahitaji uwe na muda mwingi/wa kutoshaSawa kiongoz
HahahahahaMsimsifu huyu dada eti ana moyo Shunie , hii inaitwa mchepuko unapochepukwa.
Yaani kama hesabu za kipeuo vile
Biashara za usiku huzijui? Well, kuna za kijasiriamali na kijasiliamwili sasa iliyo maarufu muda huu ni ya pili. Hapo usiku kuna polisi, wakora na wafanyabiachura
uwiiiiKalAlaShedy wap
Asante Bitoz1/Joshua Slocum![]()
![]()
Alizaliwa Februari 1844
Alikuwa ni Mmarekani Mkanada ambaye alijihusisha na ubaharia na uandishi wa vitabu
Alitoweka November 14 1909 huko West Indies akiwa na boti yake
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
anavyofanya ni sawa kweliWew ujue huyo akitoa ya moyon analahan kabisa
Nlitaka kujua biashara anazofanya aganza na ucku huu,obe kanijibu lakiniUnataka nin mke ??
hahahha Robert MugabeUmenikumbusha jina langu japo babu alikuwa halipendiiii
hata nikifungua sitaki tena mke mweeh![]()
haya ukifungua bac
uko wapi kwaniAhaaaaah mwehu wewe
Nipo mimi
Ndio mkuu ...Robo? Yaani robo tatu nzima haipo?
kuna mda natamani uendelee hivyo hivyo lakini ndio haiwezekani unakuwa mtu kabisaKiroho safii bhinamu

unamuelewa sanaAta mm simuelewiii bhinamu
hahahha usiniambie hauutakiHausahauu
kugomesha niniUmegomeshaa
Siku ileileHivi Kenedy alikufa muda mfupi baada ya kutandikwa risas au siku moja baadae?
balimi au safari lagerTunaliwait ..naomba nidhamini bia 3
Usiofu mkuu nimekuelewa mapema...Kuandika makala kunahitaji uwe na muda mwingi/wa kutosha
Ukimuona mtu humu JF kuandika makala kinagaubanga kuhusu jambo fulani ujue katumia muda mwingi kusoma mtandaoni na pengine vitabu kulifuatilia au kulitafiti hilo jambo
Haswa nondo za Jamii Intelligence
.
Kuhusu swali lako "nafikikiri" Alikuwa pia mwanajeshi au tu alienda km mwanajeshi wa ziada maana wakati wa vita hata raia wanakusanywa wakapigane na hata kujitolea kwenda
Mfano
Muhammad Ali algoma kupelekwa vitani Vietnam
.......
Kuandika makala kunahitaji uwe na muda mwingi/wa kutosha
Ukimuona mtu humu JF kuandika makala kinagaubanga kuhusu jambo fulani ujue katumia muda mwingi kusoma mtandaoni na pengine vitabu kulifuatilia au kulitafiti hilo jambo
Haswa nondo za Jamii Intelligence
.
Kuhusu swali lako "nafikikiri" Alikuwa pia mwanajeshi au tu alienda km mwanajeshi wa ziada maana wakati wa vita hata raia wanakusanywa wakapigane na hata kujitolea kwenda
Mfano
Muhammad Ali algoma kupelekwa vitani Vietnam
.......