Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Kabisaa. Mwenyewe huyo!kwahiyo huyo anafanana na lew wangu
Kabisaa. Mwenyewe huyo!kwahiyo huyo anafanana na lew wangu
Atalindwa hadi beach? .....Aisee, hakuwa na ulinzi?
Poa, Za kwakoNzuri maambo



♂️
♂️
♂️
D.B Cooper alikuwepo nje ya Top 10Pamoja sana Mkuu, umeweza kufanikisha top 10 japo tumekushtukiza.
Pia kwa nyongeza chache, kuna D.B Cooper ambaye mpaka leo hajulikani alipo.
Camilo Cienfuegos wa Cuba ndege aliyopanda haikuwahi kuonekana tena licha ya msako mkali wa kutafuta Ndege hiyo!
Mkuu Bitoz asante!!
Thanks bitoz kwa top ten1/Joshua Slocum![]()
![]()
Alizaliwa Februari 1844
Alikuwa ni Mmarekani Mkanada ambaye alijihusisha na ubaharia na uandishi wa vitabu
Alitoweka November 14 1909 huko West Indies akiwa na boti yake
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
Halafu ukimtaja si ajabu "bwana yule" akataka acknowledgement...D.B Cooper alikuwepo nje ya Top 10
Alikuwa # 14
Pia ningemuandika yaani ningemweka kwenye top 10 ila stori yake nafikiri humu wengi walishaisoma kule kwa "bwana yule" hivyo afadhali hao wengine stori zao baadhi hazijasikika
.....


Ni mkali kweli kweli kwenye haya mambo!Ok, haya bhana.hapana Mussolin sio yangu
hahahhh shemela umecheka nini jamaanNimechekaje aisee![]()
![]()
yaan nairudisha ya mwanzo lee haitaki hii
Binamu asante sana nakumbuka enzi ya hii nyimbo nilikua mdogo mdogo
hahahhh shemela weweUsishangae sana
yaan inayotakiwa ni ile tuKampeni imepamba moto
Nakumbuka sana, enzi hizo ukiambiwa kwenda kuoga unaona kama umeambiwa dhambi ya mwisho kabisa. Hupendi kuoga balaa, watu hubadilika, ndo maendeleo
binamuuu niache hivi una nini lakini ukiingia kuoga unaanza kuhesabu noWatu wanataka avatar yaohahahhh shemela umecheka nini jamaan
D.B Cooper alikuwepo nje ya Top 10
Alikuwa # 14
Pia ningemuandika yaani ningemweka kwenye top 10 ila stori yake nafikiri humu wengi walishaisoma kule kwa "bwana yule" hivyo afadhali hao wengine stori zao baadhi hazijasikika
.....
Simo nasema simoHalafu ukimtaja si ajabu "bwana yule" akataka acknowledgement...Ni mkali kweli kweli kwenye haya mambo!
Muziki na Kukumbushana
Habari Makapuku wenzangu, ni siku nyingine tena inayoishilia, yeah, ikawa asubuhi, mchana na sasa ni usiku lakini kama mnavyoijua JF na Makapuku forum, unaweza kuta kuna sehemu saa hizi ni saa mbili asubuhi watu wanapata stafutahi (hili neno linaendana na astashahada?)
Well, kuna muda unakuwa unatamani uwe tajiri sana na wakati mwingine uwe kichaa usitozwe kodi, hayo ndo maisha. Kutamani sio kosa, kosa linakuja pale unapotamani kitu kwa husuda.
Usiku huu kwenye muziki na utamu wa gitaa, sina maneno mengi sana. Nakuletea mwanamuziki maaruu kabisa wa Afro-Zouk Oliver N'Goma almaarufu Oliva Ngoma.
Wengi tunamkubuka kwa sauti yake tu bila kujua jamaa alikuwa ni mpiga gitaa mkali tu na aliwahi kufanya muziki wa reggae japo si kwa kiwango kikubwa sana maana baadaye alimezwa na kazi yake ya ukameraman hadi pale alipokutana na mkongwe Manu Lima huko paris ambapo waliandaa album iliyofanya vema na akaendelea kutoa nyimbo nzuri hadi pale alipofariki mwaka 2010. Ndo maisha.
Hebu mcheki hapa na kibao chake Adia
hadi wakti mwingine tena watu wema wa Makapuku.
Vyeupe vinawachanganya vijana