Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mengine yako kifamilia zaidii mkuuVerbal abuse mhh....
Mengine yako kifamilia zaidii mkuuVerbal abuse mhh....
Asante mkuu1/Joshua Slocum![]()
![]()
Alizaliwa Februari 1844
Alikuwa ni Mmarekani Mkanada ambaye alijihusisha na ubaharia na uandishi wa vitabu
Alitoweka November 14 1909 huko West Indies akiwa na boti yake
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
NakupendajeNlikuwa chimbo![]()
![]()
Nakumbuka sana. Siku hizi nimezidisha utani ama? Siku zile nilikuwa siriazi sana na mambo ya hapa JF. Pia nilikuwa katika transition fulani hivi ya muhimu sana katika maisha yangu. I am more relaxed now and, I believe, a little bit more mature..and happier. I like the new me !ila msukuma zamani ulikua haupo hivi kabisa hivi unakumbuka kipindi sijafunga pm tulikua tunachat sana sijui kama unakumbuka
Karibu sanaSasa nimeanza kuona faida ya makapuku,ahsanteni makupuku kwa roho ya ukarimu
Nmmh! MakubwaBiashara za usiku huzijui? Well, kuna za kijasiriamali na kijasiliamwili sasa iliyo maarufu muda huu ni ya pili. Hapo usiku kuna polisi, wakora na wafanyabiachura
Hapana. Mi namsifia Shunie tu basi. Aganza naye ni mweupe na mrembo kama Shunie? Kama jibu ni ndiyo sema nianze kutafuta wanunuzi wa ng'ombe na mashamba yangu ya nyanyaYaishee mkuu ....
Msifie aganza



Haya weka vituMakapuku, baada tu ya Bitoz kumaliza top 10 tujiandae kupata burudani
Asante mkuu1/Joshua Slocum![]()
![]()
Alizaliwa Februari 1844
Alikuwa ni Mmarekani Mkanada ambaye alijihusisha na ubaharia na uandishi wa vitabu
Alitoweka November 14 1909 huko West Indies akiwa na boti yake
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
Tunaliwait ..naomba nidhamini bia 3

Mmeo ana vituko c mchezonimecheka kwa sauti![]()
![]()
Mkuu aganza si unamuonaa ...jichange ni kama robo ya my shunyHapana. Mi namsifia Shunie tu basi. Aganza naye ni mweupe na mrembo kama Shunie? Kama jibu ni ndiyo sema nianze kutafuta wanunuzi wa ng'ombe na mashamba yangu ya nyanya![]()
Shedy wap
Ipeleke jukwaa la matangazo mkuu. Huku siyo mahala pake japo umeiweka kijanja sana. Pathetic!

KweliNadhani yeye ndiye mleta tangazo. Atajijibuje?
Tunashukuru na karibujamani makapuku nawasalimu.......