Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Steve Fissett
80f181424a3093ea4da85b8a8ecae7d6.jpg

Alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa Kimarekani aliyezaliwa April 22 1944
Pia alikuwa ni mwanaanga/rubani na pia mwanamaji
Alikuwa ndiye mtu wa kwanza kusafiri kivyake kuizunguka dunia mfululizo kwa kutumia air balloon
Alitoweka mnamo Sept 3 2007 wakati akikatiza anga la Nevada desert
Tangu hapo hakijawahi kuonekana kitu chochote kumuhusu
.........
Ni Fossett
 
9Richey Edwards
65bd4d625a442ddc70812c34a6ee6c39.jpg
4728c444ebfd58c7fa1ccaa5e93d8ffe.jpg

Jina lake kamili ni Richard James Edwards...alizaliwa Desemba 22 1967 huko Wales
Alikuwa ni mwimbaji na mpiga gitaa wa bendi iitwayo Manic Street Preachers
Alitoweka Feb 1 1995 wakati akienda kukutana na msanii mwenza James Dean wa MSP ili waelekee USA kwenye ziara ta promosheni
Gari lake lilipatikana likiwa limetelekezwa karibu na Severn Bridge lakini kamwe halikuweza kusaidia chochote
.........
 
10/Steve Fissett
80f181424a3093ea4da85b8a8ecae7d6.jpg

Alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa Kimarekani aliyezaliwa April 22 1944
Pia alikuwa ni mwanaanga/rubani na pia mwanamaji
Alikuwa ndiye mtu wa kwanza kusafiri kivyake kuizunguka dunia mfululizo kwa kutumia air balloon
Alitoweka mnamo Sept 3 2007 wakati akikatiza anga la Nevada desert
Tangu hapo hakijawahi kuonekana kitu chochote kumuhusu
.........
Sahihisho kidogo Madenge. Ni Steve Fosset na siyo Fisset. Isitoshe mabaki ya kindege chake kidogo yalipatikana na pamoja na nayo vipande vya mifupa ya binadamu iliyoungua. Uchunguzi wa kiforensiki ulithibitisha kuwa hiyo ilikuwa ni mifupa yake. Inasemekana kindege chake hicho kilikumbwa na dhoruba kali ya upepo injini ikashindwa kuhimili misukosuko na kikajibamiza kwenye miamba milimani. Milionea huyu ni wazi aliungua kabisa kabisa japo pia inawezekana mabaki yake ambayo hayakuteketea yaliliwa na wanyama (mf. mountain lions, tai, coyotes n.k). RIP mwanaanga na mvumbuzi Fosset...
 
Sahihisho kidogo Madenge. Ni Steve Fosset na siyo Fisset. Isitoshe mabaki ya kindege chake kidogo yalipatikana na pamoja na nayo vipande vya mifupa ya binadamu iliyoungua. Uchunguzi wa kiforensiki ulithibitisha kuwa hiyo ilikuwa ni mifupa yake. Inasemekana kindege chake hicho kilikumbwa na dhoruba kali ya upepo injini ikashindwa kuhimili misukosuko na kikajibamiza kwenye miamba milimani. Milionea huyu ni wazi aliungua kabisa kabisa japo pia inawezekana mabaki yake ambayo hayakuteketea yaliliwa na wanyama (mf. mountain lions, tai, coyotes n.k). RIP mwanaanga na mvumbuzi Fosset...
msukuma
 
8Jimmy Hoffa
b4d7d08130863ce3d119fa9fa2935453.jpg
74d0ea562044803f4fd2e8a722da96a9.jpg

Alizaliwa Feb 14 1913...alikuwa ni kiongozi wa Vyama vya Wafanyakazi huko Marekani
Pia alikuwa nimtunzi/mwandishi wa vitabu. ..na alikuwa ni Rais wa International Brotherhood of Teamsters (IBT}
Alitoweka July 30 1975 wakati akenda kukutana na viongozi wawili wa genge la MAFIA
Tangu hapo hajawahi kuonekana
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom