Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nakumbuka sana. Siku hizi nimezidisha utani ama? Siku zile nilikuwa siriazi sana na mambo ya hapa JF. Pia nilikuwa katika transition fulani hivi ya muhimu sana katika maisha yangu. I am more relaxed now and, I believe, a little bit more mature..and happier. I like the new me !
siku hizi umekua wa utani utani nikikimbuka avatar yako ya eddie murphy
 
Shunie kazi unayo. Wivu umezidi mno dah!
1b039043205a5f01221d2ed8e3c9b2c0.jpg
kwahiyo huyo anafanana na lew wangu
 
Asante sana kwa maelezo haya mazuri. Ndo tunaiita hii majibu komavu na ya kiuungwana kwa member mwenzako (utani kando).

Sure, kuandika hata jambo fupi tu la mistari mitatu ambao unataka liseleweke kwa member wote ni kazi, utafiti, kumbukumbu na kuamini unachotaka kufanya kiko sahihi. Asante
Ni shughuli nzito sana
Huku unasoma hapo hapo unabadili lugha halafu uongezee na akili zako kisha ufupishe halafu uandike
Ni balaa
Hata Dikteata hufupisha makusudi
Hasa unapoandika kitu LIVE ambacho unaandaa kwa muda mfupi huohuo unatakiwa uendelee kupost muendelezo

......
 
Nenda Google itakusaidia zaidi
Mimi nimeweka maelezo km nilivyoyapata hivyo kama upo interested ingia chimbo ukipata km kuna upungufu unanirekebisha au hata kujazia nyama
Kumbuka naandika ishu za watu 10 hivyo siwezi kuwa deep sana kwanza muda hautatosha kabisa
......
Hujamjibu inavyotakiwa na sio jibu zuri hili ulilo mjibu..
Hebu lisome then fikiria kama ni ww umejibiwa hivyo ungepata picha ipo?
Upande wangu sijapenda kabisa.

Jaribu kubadilisha mfumo wa majibu yako mkuu

...[HASHTAG]#Mondray3017[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom