Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sahihisho kidogo Madenge. Ni Steve Fosset na siyo Fisset. Isitoshe mabaki ya kindege chake kidogo yalipatikana na pamoja na nayo vipande vya mifupa ya binadamu iliyoungua. Uchunguzi wa kiforensiki ulithibitisha kuwa hiyo ilikuwa ni mifupa yake. Inasemekana kindege chake hicho kilikumbwa na dhoruba kali ya upepo injini ikashindwa kuhimili misukosuko na kikajibamiza kwenye miamba milimani. Milionea huyu ni wazi aliungua kabisa kabisa japo pia inawezekana mabaki yake ambayo hayakuteketea yaliliwa na wanyama (mf. mountain lions, tai, coyotes n.k). RIP mwanaanga na mvumbuzi Fosset...
Ni typing error kwenye o ikatokea I
Kuhusu mabaki yake kwenye source yangu sikuona maana ni kwa kifupi zaidi
Shukrani mdau
......
 
8Jimmy Hoffa
b4d7d08130863ce3d119fa9fa2935453.jpg
74d0ea562044803f4fd2e8a722da96a9.jpg

Alizaliwa Feb 14 1913...alikuwa ni kiongozi wa Vyama vya Wafanyakazi huko Marekani
Pia alikuwa nimtunzi/mwandishi wa vitabu. ..na alikuwa ni Rais wa International Brotherhood of Teamsters (IBT}
Alitoweka July 30 1975 wakati akenda kukutana na viongozi wawili wa genge la MAFIA
Tangu hapo hakijawahi kuonekana hata kiatu chake tu
.......
Ila kwakweliii ....

Mtu anapotea kama kuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom