Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ongezaaa balimi 2Unaruhusiwa baada ya kuwa umetoa notice ya wiki hizi, zikiwa zimethibitishwa na mkurugenzi wa tfda
Ongezaaa balimi 2Unaruhusiwa baada ya kuwa umetoa notice ya wiki hizi, zikiwa zimethibitishwa na mkurugenzi wa tfda
Haitakaa itokee. Kama unataka server za JF ziungue moto jaribu. Rudisha avatar yetu please. Huyo Mhabeshi koko uliyemuweka hapo anazingua tu na hilo tabasamu lake feki. We need our real Shunie back!
huyo mhabeshi kwa mbali najiona mimi 
Mm hapaaahuyo mkurugenzi ndio nani
Maswali yako ya juzi yamemtimuaa
alikuaga mpaka mfungo uishe ila nashangaa mmu kaweka kituo
hahahhh naomba basi baba d nibadili avatarMm hapaaa

Ya mukongo tumuulizee bhinamu obeSi ajabu umem-Ben Saanane ili kuondoa competition! Ukiminywa mbupu waweza sema aliko...
Mkongoman Werrason naye alipotelea wapi?
Ooooh!Ilikuwa kte ...kapuku throwback events
Weka ya mwanzo tusibishaneeehahahhh naomba basi baba d nibadili avatar![]()
Alikuwa anamwambia shemela wake ambaye ni ShululuNshakuwa shemela ??
Asante bhinamu nilipo upoo ....saa imetengamaa
Na wewe umetoka wapiiiAlikuwa anamwambia shemela wake ambaye ni Shululu
Cc mke mweeeHawaeleweki
hivi umeshajibu
Kosa sio kosa ila ni kosa kosa linaporudiwa kuwa kosaImetengemaa, nashukuru kwa kuiharibu, wewe unajua kabisa hizi saa za funguo zinanishindaga kurekebisha, acha hizo bhana
Mkuu shululu naomba unielekeze hii make up umemtoleaa wapi shem wangu kipenz ....naona na mm mama watoto inamfaa....![]()

Mkuu sorry ..6/Glenn Miller![]()
Alizaliwa Machi 1904
Alikuwa ni mwanamuziki wa Jazz na kiongozi bendi moja kubwa nchini Marekani....Moja ya vibao vyake ni In The Mood
Alitoweka Disemba 15 1944 wakati akitokea England kwenda Ufaransa kuongeza nguvu kwenye Ukombozi wa Paris
......
Weka ya mwanzo tusibishaneee
Procedures unazijuaa ..tuma 10 nikaguee na nichaguee au umesahau
acha niirudishe tu sina nyingine za kutuma nina mbili tu hii na ya mwanzo
bora mke mweeh unisaidieAlikuwa anamwambia shemela wake ambaye ni Shululu
Imetengemaa, nashukuru kwa kuiharibu, wewe unajua kabisa hizi saa za funguo zinanishindaga kurekebisha, acha hizo bhana
binamu leo weka basi nyimbo ya wanaume wameumbiwa mateso