Makampuni yamefuata agizo la Waziri Ndugulile kuwa Mb1 iwe tshs 1. Najua alikalishwa chini na kushauriwa kuwepo na ongezeko la bando na akalitekeleza.

Huu mtego amenasa na utamgharimu maisha yake yote ya kisiasa.

Nimelisema wazi hili ili wanasiasa wetu wajifunze kuwa siyo kika ushauri ni wa kukurupukia wanapaswa wajitafakari kabla ya maamuzi yeyote
 
Ndio umeongea nini sasa
Haujaelewa nini ?

Kwa kuweka hizo bei bado mitandao ipo within bei elekezi za bundle..., hizo bei nyingine tofauti, tofauti ilikuwa ni offers, Je unaweza kumlazimisha mtoa huduma atoe offer ?

Walikuwa wanatoa offer kuvutia wateja..., sasa kama pote ni level playing field kuna incentive gani ya kutoa offer ?

TCRA wakae tena na wadau kurekebisha upuuzi waliofanya
 
Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana.

Licha ya serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo serikali imezisimamisha.

Tunamtaka Waziri Andungulile na TCRA mara moja wasimamie agizo lao, la sivyo tunatawachukulia kuwa agizo lao ni la kisiasa na si kwa lengo la kumsaidia mwananchi.

Tunataka kuona mabadiriko ya bei za vifurushi mara moja la Sivyo Andungulile achia nafasi hiyo hutoshi. Umetusababishia wananchi adha kubwa sana kwa kitendo ulichokifanya cha kutaka kumfurahisha Meko kumbe unatuumiza sana wananchi
1617433996254.png

SWALI NI KWA NINI TCRA WALIKUBALIANA MAKAMPUNI YA SIMU KUIDHINISHA BEI ZA AJABU AJABU ⁉️
OMBI LANGU BODI YA TCRA IVUNJWE NA MENEJIMENTI KUPIGWA CHINI MARA MOJA.
 
Route za xvideos zitapungua. Waminye zaidi kubet online kuwe kugumu
 
Kwanini tusiwekeze kwenye Ttcl yetu bhanaa tuiudumie kupitia budget yaetu ya serikali tutimue ma kampun yote haya kichef chef
 
Haya mambo tujifunze kotoka kwenye sukari , sement, mafuta ya kula kwa mara zote bei zinapopanda serikali hutoa matamko yasiyo na msaada wowote kwa wananchi, n kama ili mradi ionekane wameongea ila matamko yao huwa hayana utekelezaji.
 
Kwanini tusiwekeze kwenye Ttcl yetu bhanaa tuiudumie kupitia budget yaetu ya serikali tutimue ma kampun yote haya kichef chef
Monopoly na mawazo ya siasa za ujamaa kwa serikali yoyote huwa mwishoni hazileti tija na maendeleo. Mifumo, sheria thabiti, na regulatory entities makini ni moja ya vitu vitavyotusaidia kupiga hatua mbele zaidi, badala ya kuendelea kukumbatia mawazo, na siasa za ujamaa zilizoshindwa kitambo duniani.
 
Back
Top Bottom