Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Tunatoa siku moja kuanzia leo kwa waziri husika.
Dawa yake tunaijua sisi wananchi.
Dawa yake tunaijua sisi wananchi.
Sifurahii chief , vitu vingine unauliza Kwanza kabla ya kulalamika , kuna menu za vifurushi sa hv ukijarbu kujiunga unaambiwa ipo kwenye marekebisho , imagine menu zote ziwe deactivated Kwa ajili ya marekebisho na uhitaji wa huduma unahtajika every second.Huyo inaonekana ni kati ya wale wa vitu kwanza au kodi kwanza.
Ngoja tujipe muda mkuu, labda watabadilisha.Propaganda za serikali ya Samia hakuna kitu hapo
Njmekuelewa kiongozi.Sifurahii chief , vitu vingine unauliza Kwanza kabla ya kulalamika , kuna menu za vifurushi sa hv ukijarbu kujiunga unaambiwa ipo kwenye marekebisho , imagine menu zote ziwe deactivated Kwa ajili ya marekebisho na uhitaji wa huduma unahtajika every second.
Serikali iliruhusu vifurushi tunavyoviona sasa na ghafla Tamko la kusitisha , ina chukua masaa mkuu na hata sku ...sio issue ya kuzima na kuwasha kama taa
Huyu mama akfeli hapa daahh!!Propaganda za serikali ya Samia hakuna kitu hapo
Watanzania tuna shida sana.....Nikiwa kama mtumiaji mkubwa kampuni hii...naona imeminya sana huduma za nawasiliano...
Haiwezekani kupiga 3/4 nzima mteja anapata 1/4 pekee. Mbaya zaidi serikali imetangaza kutoongeza bei..wao wamebaki na wanatupiga vby
Hongera! @Umepokea #60 (Mitandao Yote) + Dk 80(Halotel) + 4096 MB + SMS 100 hadi 00:23 00/00/2021. Asante!
Hii ni kwa shilingi 10,000/=
Sio fair
Ndio umeongea nini sasaWatanzania tuna shida sana.....
Bundles zilikuwa bei rahisi / tofauti kulingana na ushindani kwahio kila mtandao ulitoa offer kama ilivyoona inafaa...
Serikali ikaja na bei zake elekezi kwamba mb kadhaa ziwe/ zisizidi kiasi kadhaa..., Mitandao mfano Halotel iliyokuwa na offer chini ya hapo ikapiga chini hizo offer ikafuata maelekezo na kupitia mule kwenye bei elekezi....
TCRA / Serikali kama kawaida yake ya kukurupuka ikaja na tamko lake kwamba bei mpya za Data zisitumike kwanza until further notice..., Je swali ni kwamba unawalazimisha hawa wadau waendelee kutoa offer hata kama hawaoni kama inafaa....
Watanzania tuanze kuelekeza lawama zetu panapohusika (don't shoot the messenger)