Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,809
- 110,054
Navoelewa kicha kinakuaga moto zaidi kuliko kikibeba mabehewa sasa hapo wakikiekea mikia c ndo kitajvuta kama jongoo
Treni ya umeme hai-operate kama treni ya diesel engine...
Kwa msaada zaidi tazama hapa: