mtumba

Mtumba is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,277.The ward is along the main road to Dar es salaam. Residence in this ward depends much on Agricultural activities as well as Animal keeping.
The Wards of District of Dodoma urban -Dodoma Region-Tanzania
Chamwino | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | Hombolo | Ipala| Kikombo| Kukuyu North | Kikuyu South | Kilimani | Kiwanja cha Ndege (Dodoma)| Kizota | Madukani | Majengo (Dodoma) | Makole | Makutupora | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Ng’ong’ona | Nzuguni | Tanbukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu

View More On Wikipedia.org
  1. Bata Boy Official

    Natafuta marafiki wanaofanya biashara ya viatu vya mtumba

    Habari wakuu? Wanasema ndege wenye manyoya ya kufanana huruka pamoja. Na mimi pia naamini kwenye mzunguko wa watu wangu wa karibu nikiwa na watu wanaofanya kitu kama changu itanisaidia kukua. Mimi nafanya biashara ya viatu vya mitumba lakini kwa sasa bado nipo hatua ya...
  2. Mributz

    INAUZWA VITU USED TOKA U. K friji, zulia za mtumba na n. K

    ZULIA ZA MTUMBA BEI 70K NJOO (0718909429) Friji ndogo laki 2 Pasi 50k
  3. MIXOLOGIST

    Kuna Uhalali au ulazima kwa kampuni za simu kutoa namba za simu za mtumba (zilizotumika na watu wengine walio hai au kufa)?

    Wasalaam wana JF Nilikua nachangia kwenye uzi mmoja uliokua unajadili ulazima wa kuhifadhi number za simu za marehemu, nikawaza kwa maandishi, JE KUNA SABABU GANI YA KAMPUNI ZA SIMU KUTOA NAMBA ZA SIMU ZA MTUMBA? Kwangu mimi, kumiliki number ya simu ya mtumba (iliyotumiwa na mtu mwingine aliye...
  4. V

    Tunauza Balo za mtumba kutokea China

    JE UNAUJUA MTUMBA WA KUTOKA CHINA ?🤷‍♂️ HIVI UNA HABARI YA KWAMBA MIZIGO YA CHINA INAUZIKA SANA KWA SPEED KUBWA KULIKO MINGINE ? 🤦🏻‍♂️ UNAJUA KWA NINI ? 😎UNAJUA BEI ZAKE ? 😋 - ▪️SABABU YA KWANZA NI BEI ✅ BALO KUTOKA CHINA GRADE A NDIO BEI RAHISI ZAIDI KULIKO GRADE A ZA KUTOKA NCHI ZINGINE 😁...
  5. Ubungo Mataa

    Mzoefu wa biashara ya nguo za mtumba anahitajika

    Wakuu heshima itawala.. Nisiwachoshe maana January hii ngumu sana. Natafuta mtaalamu anaejua machimbo/magodaoni yenye nguo kali za mtumba ( Mabalo kutoka Uturuki au Dubai) na mwenye utaalamu wa kuchagua tufanye biashara. Kazi yake itakuwa ni kunipa mwongozo, mm nitakuwa nachukua naend kuuza...
  6. V

    Nauza suruali za watoto mtumba grade 1

    Kàribuni sana suruali za watoto mtumba grade 1 Jumla 3000 Rejareja 4000 Umri miaka 3 mpk 10 Whatapp 0657710078 Tunapatikana Temeke Dar es Salaam Mkoani tunafanya delivery
  7. V

    Gauni za mtumba

    Karibuni sana beichee outfit Tunauza gauni mtumba grade 1 Jumla 6000 Rejareja 8000 Tunapatikana temeke mtongani dar es salaam Whatapp 0657710078 mkoani tunafanya delivery
  8. V

    Nauza balo za mtumba grade 1

    Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo Tuna balo za nguo aina zote Gauni za kike Suruali za kike Mabwanga Skin and boyfriend jeans Mashati T-shirt Cargo jeans. Cardet Na nyinginezo nyingi Tunapatikana mtongani temeke dar es salaam Mawasiliano...
  9. T

    TV na Monitor mtumba wa USA bei chee hizi hapa changamkia

    BenQ GL2450 24 inch Widescreen LCD TFT Monitor (16:9, 1920 x 1080, 250 cd/m2, 1000:1, 5 ms) BEI Tsh 120,000/- 22" Hanns G HH221DPB HGS1088 LCD Widescreen DVI/VGA Monitor With Power Lead Bei Tsh 100,000/- Luxor Model V22LCDDVDHD (Asda Stores) 21 Inch Television TELEVISION NCH 21 Tsh...
  10. diuretic

    Msaada: Nahitaji vifaa vya mazoezi vya mtumba (Dumbbells)

    Wakuu habari. Nipo jijini Dar nilikuwa nahitaji dumb bells used au za mtumba au hata zile wanazotengeneza mtaani. Mpaka nakuja kuuliza humu ina maana sina pa kuanzia na naamini ntapata msaada humu. Uchumi kidogo umebana siwezi kununua vipya kwahiyo yoyote anaeweza nisaidie chimbo la dumb...
  11. I

    Biashara ya mtumba

    Hello guys, Kama upo na mtaji niletee mzigo wa belo za baibui za mtumba tufanye kazi, fremu ipo good location, unaweza kujitengenezea laki 3+ kila mwez. Belo moja ya baibui grade A ni km laki 6-7. Nipo Zanzibar, any one interested na hiyo biashara nione, serious people only kama nilivyofanya...
  12. Salahan

    Biashara ya chupi na sidiria mpya na mtumba

    SIDIRIA Bei ya china 15yuan kwa kilo 1 Oda kima cha chini 100kg (belo 2) 15x100=1500yuan 1500x379=568500Tsh (379 ni bei yangu ya kuuza yuan kwa siku ya leo 23/09/2023) 100kg nikama sidiria 1000-1200 568500÷1200=474 kila sidiria Ukiweka na usafiri nikama 700 kila sidiria...
  13. voicer

    Sheria mpya ya Manunuzi ya vitu vya "mtumba" bila PPRA ni kupanua ubadhirifu

    8Video Clip ipo Chini"Mwigulu Kama Makamba na Nape! Wanasaka za Uchaguzi (ndoto za Urais)" Jana, 08/09/2023 huko Dodoma Serikali kupitia Bunge lake ilipitisha sheria mpya ya manunuzi ya serikali. Ambapo sasa ni ruksa kwa serikali au taasisi yoyote ile ya Umma nchini inaweza kununua vifaa au...
  14. Etwege

    Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

    Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana. Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana...
  15. Salahan

    Phone4Sale Biashara simu za mtumba

    Picha hapo juu ni miongoni mwa simu izo za mtumba Simu Zimetumika China na ni Global Version Zinatumika nchi yoyote Gharama ya usafiri kwa meli kila moja 30000 wiki 4-6 Gharama ya usafiri kwa ndege 60000 wiki 2-3 Simu ni Brand Original Simu ni 80%-90% New Gharama za usafiri zimejumuisha tozo...
  16. I

    Nipo na fremu ya nguo za mtumba ila sina mzigo wa kutosha

    Habari zenu, natumaini ni wazima wa afya. Nipo na fremu ya nguo za mtumba ila sina mzigo wa kutosha. Anehitaji kuniwezesha kwa mzigo namkaribisha, mitumba ya baibui, abaya za kikubwa na kitoto, kanzu za msikitini ndogo na kubwa pia madashdash, mabwanga pamoja na night dress hata viatu vya kike...
  17. Stephano Mgendanyi

    Mradi wa ujenzi wa Mji wa Serikali Mtumba umeleta ajira na kuchangia chachu ya ukuaji wa uchumi

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, amesema mradi wa Ujenzi wa Mji wa Serikali Mtumba, pamoja na Miradi mingine ya kimkakati imeleta ajira na kuchangia kasi na chachu ya ukuaji wa uchumi hususan katika Jiji la Dodoma. Ameyasema...
  18. K

    Nimekosa kabisa shuka za mtumba nyeupe

    Locationa: Dar es Salaam, Makuburi. Size ya kitanda: 5*6
  19. I

    Biashara ya nguo za mtumba

    Kama una mtaji wa kuanzia laki 7+ na unahitaji kupata faida kuanzia laki 3+ per month njoo inbox tuongee biashara ya nguo za mtumba nitakuelezea ukikubali tutafanya
  20. Stephano Mgendanyi

    Waziri Dkt. Ashatu Kijaji Awasili Ofisi za Wizara Mtumba Dodoma

    Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akikabidhiwa maua ya pongezi na watumishi wa Wizara hiyo alipowasili katika Ofisi za Wizara, Mtumba Dodoma, Julai 18, 2023, baada ya kuapishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Waziri wa Viwanda na...
Back
Top Bottom