Candlelight
Member
- Oct 13, 2017
- 46
- 211
- Thread starter
- #141
Nakumbuka iyo siku nilikuwa na kaka yangu nikamtania "Kaka leo si unajua siku ya UKIMWI duniani, nenda kapime 'Hata December 1 siku ya UKIMWI nilipima.
Akanijibu kwa msisitizo kabisa..." Nani mimi?! Weeh nitapima vyote ila sio iyo kitu yaan, yaan waniambie nakufa kesho mimi? Ahna siwezi tena nakushauri na wewe na ilo limwili lako ukijipeleka kupima sijui nani atakubeba"
Ilinibidi nicheke tu, Maana usilolijua ni sawa na usiku mnene wa giza.
Baadae nilijitahidi kumuelewesha juu ya umuhimu wa kujua afya yake lkn wapi hakuna lugha alielewa.