Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

True that yo said reality kbsaa koz nshakaa kwenye ktengo cha CTC hospto flan mjn dar na watu wanaofata dawa zao za TLE na combvir, atonavir and so on ni warembo wengne and they are good by looking in eyes kikubwa do wat we advised yo to do and life goes on as normal
 
Hivi HIV Na TB kuna nini mahusiano yake maana wengi nakuta akiwa na HIV utakuta ana TB pia why?
Hii inatokea koz ya kinga za mwilini kushuka so when patient interact wit environment that having myobacterium tuberculosis lazma atapata tb maana body immune system less function to solve the problem but point to note not all wenye tb wana HIV
 
Wote humu hamjawahi pata kizaza. Mi nilienda Pima na demu akawa ameungua halafu mimi Sina [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] hakuna stress kama hizo ujibembeleze mwenyewe na umbembeleze demu. Kupima jamani ni stress sana
 
Mtoa mada hongera kwa kujikubali na Ahsante kwa kutia moyo wengine.
Mwaka flan nilitelekezwa na ujauzito , siku ya kwanza kuanza clinic ndiyo siku niligundulika na maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Niliumia sana ila nilijipa moyo kuwa mfariji wangu pekee ni mtoto nitakayemzaa hivyo sikuwa na budi kujikubali maisha yaendelee.
Hata hivyo haikuwa rizki, ujauzito uliharibika ikiwa zimebakia wiki mbili mtoto aanze kucheza tumboni.
Nilijifunza kumshukuru Mungu kwa kila jambo na sasa hivi maisha yanakwenda.

Kuugua sio kufa. Nafurahia kila chance ninayoipata katika maisha. Najipenda haswa, na nilivyo karembo sasa[emoji23] (joke).........
 
Pole sana na hongera kwa kukubali hali yako. Huu ugonjwa unatisha pamoja na kuwa sasa hivi dawa za kurefusha maisha na kuepusha muathirika kuugua ugua kila mara. Pole sana.
 
Kuna siku nilipima na kicheche flan akawa + kuanzia hapo sina hamu na hao viumbe tena
 
Asante Candle!

Mm imenitokea mwezi mmoja uliopita. Siasahau!

Nilimpenda mdada mmoja to the maximum na akanikubali kabisa tuoane. Sasa akaja na condition ndugu zangu. Kwamba tupime afya kwanza ndipo mengine yaanze!

Mwanaume sijawahi kuplan kama nitakuja kupima HIV.

Na mbaya zaidi yeye ni daktari.

Akanipa maelekezo vizuri kabisa muda wa kufika hospital nk.

Nikanyonywa damu! Mungu mkubwa baada ya majibu wote hatuna maambukizi. Maisha yakaanza sasa na tunakula bata mwanzo mwisho.

Wakati nasubiri majibu jasho lilinitoka kabisa.

Tupime afya zetu tujijue.
 
Back
Top Bottom