Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Ukimwi ni kitu kingine kabisa

Humu jF tuna wasomi wa kila aina mpaka ma Doctor
Lakini angalia jinsi ukimwi uvaoongelewa kwenye nyuzi zingine
Na wasikujue una ukimwi humu coz kuna watu wana list za watu maarufu wenye ngwengwe
So itachukua kama karne nzima kwa hapa bongo ukimwi kuonekana kitu normal

Ila ukimwi bana .wakati niko high school kuna Dem cheap alishoboka wana wakawa wanasema anao ,kumleta geto nikaishia kumshika shika tu kila nilivokumbuka kauli za wana na dem navomuona sikupata stimu
 
Wake zetu ndo mnatuletea magonjwa
We f@l@ Mimi sio mwanamke

Narudia tena Mimi sio mwanamke

Mkuu Mimi ni mwanaume

mwenzako [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]

Utake radhi
 
Hongera mkuu ni sehemu pia ya kuwatia moyo wengine God bless u so much.. ........
 
Hivi wakuu niulize tu Mimi sina UPUNGUFU WA KINGA MWILINI, JEE MTU AMBAYE ANAO UPUNGUFU WA KINGA MWILINI ANAWEZA KUNIAMBUKIZA MADHAIFU YAKE YA KINGA?
 
Hii kitu inashangaza sana kupima siyo inshu.. inshu ni ule muda wa kusubiri majibu mpaka unayapata utakuwa ushapiga mahesabu mengi sana .. Utawakumbuka wote
Tatizo unapima leo ukiwa safi unajisemea daah sirudii kabisa kukamuakamu ila baada ya siku mbili viapo vyote ushavikana unaanza moja.. Hii kitu kama kuna mchawig ndani yake maana genye si kitu cha mchezomchezo
 
Back
Top Bottom