Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Kukushawishi mmh kwakweli sidhani kama nitaweza, ila pengine tu nikwambie ukijua status yako mapema unajikinga zaidi na mengi. Kuna watu wabishi kupima, kwaiyo kinachotokea wanakua hawajui mpaka inafika wakati wanaugua sana wanapimwa wakiwa kitandani ambayo inakua ni too late tayari..... Sasa ipi ni vyema..... Kujua kuna moto unaanza kuwaka ukawahi kuupooza au kuuacha uwake ukipretend huoni mpaka pale utakapooungua kabisa ndo kuanza kuupooza?[/kweli kabisa
 
Niliwahi kupiga kavu bila kutarajia pale Mlimani City Parking, zigo limevua pichu likaja kukalia mjegejo kwa juu. Aisee nilisugua kama nimetoka Segerea bao 2
 
Hakuna kuogapa kupima, nunua kipimo jipime mwenyewe.

Ikiwa mwenzi yuko mbali basi kila mkutanapo pimeni.
Hivi vipimo vinauzwa wapi aise, maana kuna wakati huwa natamani niwe navyo ili ikitokea ghafla umetingwa mpimane kwanza
 
Hivi vipimo vinauzwa wapi aise, maana kuna wakati huwa natamani niwe navyo ili ikitokea ghafla umetingwa mpimane kwanza
Kipimo kinaonyesha aliyepata maambukizi zaidi ya miezi 3 iliyopita. Kama kapata chini ya hapo utaukwaa pamoja na kupimana
 
Niliwahi kupiga kavu bila kutarajia pale Mlimani City Parking, zigo limevua pichu likaja kukalia mjegejo kwa juu. Aisee nilisugua kama nimetoka Segerea bao 2

Mzee kumbe unakulaga mizoga kistaili hiyo ukiwa na ugwadu?

Usiuze mechi kiboya boya hivyo mzeebabaa
 
Back
Top Bottom