Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Anyone can test Positive..... Many test positive, na unaweza kuishi na mtu ndani na usijue unless aamue kukwambia mwenyewe, idadi ni kubwa kulingana na kituo na kituo. Usiogope HIV, kama upo negative, jilinde tu
Aise wewe ni jasiri kwelikweli...
 
Nilishawahi kumpima demu flan kabla ya kumgegeda akawa POSITIVE daah ilibidi nimfiche majibu yake na ghafla ashki iliyeyuka ubbooo ukawa kama kifutio nikatafuta bajaj nikamrudisha kwao
You did the right thing kumficha, lakini ulimueleza kwann unamrudisha baada ya kumpima? At least you could have alert her akacheki afya... Kuwahi ni muhimu kuliko kuchelewa.
 
Kupima simple sana kama huna mke oa au mpe mdada yeyote ujauzito akianza kwenda clinic watampima...... Majibu atakayoyapata na ww itabid ujiongeze
Hahaaaaahaa'. Ila kuna wanaume ni wabishi hata kupima kipindi cha mwanamke akiwa mjamzito!.. Tena hadi wanakua wakali..... Mimi nahisi people should have enough knowledge about this kupitia Positive people wenyewe.
 
Naweza nikasex na ww na nisipate?
Yes!... Hujawahi kuona mama positive , baba na watoto negative...! Very possible... Kuna namna ukikaa na wataalamu wanawaelekeza clinic, maswala ya kuepuka michubuko wakati wa tendo and everything. I got a friend i met clinic, Ana mtoto mmoja negative, na anaishi na mmewe negative, na yeye Ana 9 years yupo Positive, na ukimuona aloooh utabisha, akikwambia yupo positive utabisha sana.
 
Yes!... Hujawahi kuona mama positive , baba na watoto negative...! Very possible... Kuna namna ukikaa na wataalamu wanawaelekeza clinic, maswala ya kuepuka michubuko wakati wa tendo and everything. I got a friend i met clinic, Ana mtoto mmoja negative, na anaishi na mmewe negative, na yeye Ana 9 years yupo Positive, na ukimuona aloooh utabisha, akikwambia yupo positive utabisha sana.
Daaa, vp ww unamtoto? Au upo ktk uhusiano? How do you handle the situation
 
Daaa, vp ww unamtoto? Au upo ktk uhusiano? How do you handle the situation
Am good, everything is ok with me Haszu.... Being Positive haijanizuia chochote, am enjoying life to the fullest, just like everyone out there...! Na wala huwezi kujua unless nikwambie that nipo hivi nikupe na kadi usome, otherwise unakataa
 
Am good, everything is ok with me Haszu.... Being Positive haijanizuia chochote, am enjoying life to the fullest, just like everyone out there...! Na wala huwezi kujua unless nikwambie that nipo hivi nikupe na kadi usome, otherwise unakataa
Thanks for your everything in here. Stay happy and good night
 
Be blessed for sharing with us and also educating us on importance of knowing our health status
But there is something i want to ask though you have accepted the reality but have you ever thought of knowing where you got it from, maybe your present/previous relationships or engage in unprotected sexual activity with someone or your partner, or did you advise your partner to go for checkup and how did he react...and how about your family how did they react with the news
 
You did the right thing kumficha, lakini ulimueleza kwann unamrudisha baada ya kumpima? At least you could have alert her akacheki afya... Kuwahi ni muhimu kuliko kuchelewa.
Kwanza nilipagawa nikavaa nguo haraka haraka tukapiga stori kidogo tukasepa. In short nilishtuka kias sikukumbuka nafanya nn. Nilipata NCHECHETO
 
Back
Top Bottom