Alipimwa HIV Positive, Akatibiwa… Sasa Ni Negative? Mwananchi Afungua Kesi Dhidi ya KEMRI

Alipimwa HIV Positive, Akatibiwa… Sasa Ni Negative? Mwananchi Afungua Kesi Dhidi ya KEMRI

OwadeKuya

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2026
Posts
328
Reaction score
226
Kuna story imeleta mjadala mkubwa sana kwa wananchi baada ya mwanamke mmoja kufungua kesi dhidi ya Kenya Medical Research Institute (KEMRI) kutokana na conflicting HIV results.
According to taarifa, mwanamke huyo alipimwa HIV positive mwaka 2023 katika hospitali ya serikali na akaanza ART treatment kama kawaida. Records zake zinaonyesha alikuwa under care kwa muda, kitu inaonyesha diagnosis ilikuwa confirmed.
Lakini mambo yalibadilika ghafla baada ya yeye kushiriki maombi ya kidini. Baada ya hapo, akaanza kupimwa HIV negative mara kadhaa katika different facilities. Hii imeacha maswali mengi: ilikuwa misdiagnosis ama ni miracle healing?
KEMRI baada ya kufanya uchunguzi wao, wamesema hakuna evidence kuwa huyo mwanamke aliwahi kuwa HIV positive kauli ambayo sasa imeleta utata mkubwa na hata kupelekea kesi kufunguliwa.
Kwa wananchi wa kawaida, hii issue inaleta hofu kubwa. Kama results zinaweza kinzana hivi, je tunaweza trust vipimo vya hospitali zetu? Na wale wako kwa medication bila uhakika je?
Serikali na wadau wa afya sasa wanatazamiwa kutoa majibu ya wazi, kuhakikisha mfumo wa testing uko reliable kwa sababu afya ya mwananchi si ya kubahatisha.

Source: TV47
 
Hii sio kesi ya mwanzo kwenye maswala kama hayo.
Nimesahau ni mwaka gani kuna mzee aliambiwa ana Ngima mzee wa watu akaona isiwe tabu akaanza ARV.

Katumia kama miongo kadhaa anakuja kujulikana kwamba hana ana hiyo ngoma
 
huyo mwanamke ni jasiri, nikishakua hiv positive uwih hata sitaki ku imagine,, anyway ngoja tuone kesi itaishaje
 
Hii sio kesi ya mwanzo kwenye maswala kama hayo.
Nimesahau ni mwaka gani kuna mzee aliambiwa ana Ngima mzee wa watu akaona isiwe tabu akaanza ARV.

Katumia kama miongo kadhaa anakuja kujulikana kwamba hana ana hiyo ngoma
Viral load ama CD4 hazikuwa controlled Kwenye hicho kipindi???
 
Viral load ama CD4 hazikuwa controlled Kwenye hicho kipindi???
Sijajua mkuu lakini Kwenye enzi za nyuma pia, vipimo na ufuatiliaji (monitoring) haukuwa rahisi kama sasa, hivyo watu wengine waligundulika kuchelewa au kufuatiliwa kidogo
 
Back
Top Bottom