ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,856
- 39,915
- Thread starter
- #61
😅😅😅 tena wamefungwa mabao 3
😅😅😅 tena wamefungwa mabao 3
Kwanini sasa 😅Watu wana hasira
Muite ShadeeyaKwanini sasa 😅
Kitakuwa cha woteOngeza wachezaji
😂 mpira wa bongo unaumiza sn.Sawaaa mzungu😀
Sina Raha hapa, nipo nakunywa pombe ka pub.Magoli kama yale ya Azam dhidi ya Yanga ya mda mfupi uliopita si rahisi kuyafunga, yalikuwa mengi sana 😅⚽️
Magoli matatu si mchezo!
Wewe umecheza mechi gani ukafunga magoli kwa ufanisi kama Azam? 🤭
Ulikuwa unashindania kombe gani hasa? 😄
Mimi napenda mechi zenye magoli mengi, zinakuwa na burudani muda wote
Wewe je? 🤪⚽️
Weekend inaishiaa
ShesRise_1 ✋️
Basi nishajua who are you 😅😂 mpira wa bongo unaumiza sn.
Huyu ni mzungu au muzunguSawaaa mzungu😀
Ni nani mimi?Basi nishajua who are you 😅
Piga majiSina Raha hapa, nipo nakunywa pombe ka pub.
Poleee 😢😢 nipe wallet yako nikutunzie🤪Sina Raha hapa, nipo nakunywa pombe ka pub.
Kijana kama mboga mboga 🏃♀️Ni nani mimi?
Hata kidogo, nilijaribu kuishabikia Simba zamani but nikaona aaah!Hata jana nilikuwa natamani washinde na leo Yanga afungwe.Kijana kama mboga mboga 🏃♀️
Ooh sawa kila la kheri uko mbele unakubari team ganHata kidogo, nilijaribu kuishabikia Simba zamani but nikaona aaah!Hata jana nilikuwa natamani washinde na leo Yanga afungwe.
Manchester UnitedOoh sawa kila la kheri uko mbele unakubari team gan
Kuitika kwake ni kesho asubuhiShadeeya bi mzuriii🥰🥰
Sasa kama mlishamalizana NBC Huku pengine mlitaka muonyeshe nn tena ambacho kwenye NBC hamkuonyesha?Jibu tayari liko hapo kuwa tulimani Yanga kwa vile tuna ishu naye siyo kwa sababu ni dhaifu maana kwenye NBC tuliashamaliza nao nafasi pekee ya kukutana naye ilikuwa hii lakini ndiyo hivyo Azam kamuokoa.
Kumfunga tu basi, sasa hapa tumsubiri ngao ya hisani.Sasa kama mlishamalizana NBC Huku pengine mlitaka muonyeshe nn tena ambacho kwenye NBC hamkuonyesha?
Una no yangu kwani we mwana Manchester 😅😅Manchester United
Halafu natamani nikupigie aaah sijui kwanini, ila sasaaa........