Magoli Matatu Si Mchezo! ⚽😅

Magoli Matatu Si Mchezo! ⚽😅

Magoli kama yale ya Azam dhidi ya Yanga ya mda mfupi uliopita si rahisi kuyafunga, yalikuwa mengi sana 😅⚽️

Magoli matatu si mchezo!
Wewe umecheza mechi gani ukafunga magoli kwa ufanisi kama Azam? 🤭

Ulikuwa unashindania kombe gani hasa? 😄

Mimi napenda mechi zenye magoli mengi, zinakuwa na burudani muda wote

Wewe je? 🤪⚽️

Weekend inaishiaa
ShesRise_1 ✋️
Diara alitakiwa asuse na atoke nje baada ya Bacca kusababisha goli la tatu.
 
Jiulize kwanini mchezo una dakk 90 na nyongeza juu hii ni kutaka mchezo unoge na kuonesha ufundi wa wachezaji wa pande zote mbili

Magoli makalii ya kideoni kama lile la chama linaitaji mwili upate moto mchezaji aingie mchezoni ndio afunge

Sasa akifunga haraka kwa dakk 2 ya mchezo unamalizika hata 🍿 haijaisha inakua sio ✋️
So ishu n muda wa kufunga magoli na sio idadi ya magoli mana muda ukiwa mrefu ndio wachezaji wanafurahia 🔥
 
Meanwhile.....goal keeper mimi!!!
FB_IMG_1781874037289.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom