matatu

In Kenya matatu (known as mathree in Sheng) or matatus are privately owned minibuses, although pick-up trucks and estate cars were in the past pressed into service as these Kenyan share taxis. Often decorated, many matatu feature portraits of famous people or slogans and sayings. Likewise, the music they play is also aimed at quickly attracting riders.Although their origins can be traced back to the 1960s, matatu saw growth in Kenya in the 1980s and 1990s, and by the early 2000s the archetypal form was a (gaily decorated) Japanese microvan. C. 2015, larger, bus-sized vehicles also started to be pressed into service as matatu.
These minibuses ply set routes, run from termini, and are used for both inter- and intra-city travel. In addition to a driver, matatu may be staffed by a conductor, locally known as a makanga or manamba or donda.
As of 1999, they were the only form of public transport available in Nairobi, Kenya, although in 2006 and 2008 this was no longer the case.
Over the years, stiff competition is being experienced from bus-sharing applications such as SWVL.The name may also be used in parts of Nigeria.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Tanzania FALSE Video, EPRA agreed with Matatu Kenyans at Nairobi CBD

    A viral video claiming that the Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) reached an agreement with matatu operators in Nairobi’s CBD is misleading. In reality, no deal has been finalized, and the transport strike continues to paralyze the city. Matatu operators launched the strike after...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Government Embarrassed as Matatu Operators Reject Wandayi Deal Live on Camera

    The government suffered a major setback on Monday after matatu operators publicly rejected a deal proposed by Energy CS Opiyo Wandayi aimed at ending the nationwide transport strike over rising fuel prices. The dramatic rejection happened live on camera during a high-level meeting between...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Kesho tena tunatembea?” Kenya Yasimama as Matatu, Boda & Uber Strike Continues

    Nairobi imeamka na stress nyingine tena after transport operators announcing kwamba strike itaendelea kesho because talks na serikali zimegongana mbaya. From matatus, boda bodas, Uber mpaka cargo trucks wengi wameamua “hakuna kazi mpaka mafuta ishuke.” Wananchi ndio wamebeba mzigo mkubwa. Leo...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Trump nchini China: mambo matatu umefuatilia?

    Trump amewasili. Mei 13, kutokana na mwaliko wa rais Xi Jinping wa China, rais Trump aliwasili Beijing kwa ajili ya ziara ya siku tatu nchini China, ambayo ni ziara ya kwanza ya kiserikali nchini China katyika wa muhula wake wa pili. Katika miaka ya hivi karibuni, uhusiano kati ya China na...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fuel prices zimeshuka lakini nauli bado juu? Matatu wamekataa kushusha ‘Hii si Charity!

    Wadau, hii mambo imeanza kuchemka vibaya sana. Baada ya Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) kushusha bei ya mafuta, kila mtu alidhani nauli za matatu zingepungua kidogo. Lakini wapi. Matatu operators chini ya Matatu Owners Association (MOA) wameamua kushikilia ile 25% hike kama...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matatu Owners Warn of Fare Hikes as Fuel Prices Cross KSh200

  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chama cha Wamiliki wa Matatu chaongeza nauli kutokana na gharama za uendeshaji kupanda

    Chama cha Wamiliki wa Matatu (MOA) kimetangaza rasmi ongezeko la nauli nchi nzima, kikieleza kuwa gharama za uendeshaji zimepanda kwa kiasi kikubwa ambacho hakiwezi kuhimiliwa na wasafirishaji pekee. Rais wa chama hicho, Albert Karakacha, amebainisha kuwa dizeli ndiyo nishati kuu inayotumiwa na...
  8. GoLC

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu yanayoweza aidha kukupa heshima au kukushushia hadhi

    Naam, matatu. Mawili ya hadharani na moja la faraghani. Nitayataja tu na sitayafafanua, maana yanajulikana. Kadhalika kila mmoja anajua ni kwa namna gani na aidha ni kwa wakati gani alishushiwa/jishushia heshima au alipewa heshima. Mambo hayo ni haya; 1. Chakula 2. Maongezi 3. Ngono Jiweka...
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakili afungua mashtaka akiitaka Mahakama kuzuia usafiri wa umma (Matatu) Kupiga Muziki wa sauti kubwa, Nairobi

    Wakili mmoja kutoka Nairobi amefungua shauri katika Mahakama Kuu akiomba kutolewa kwa amri ya kusitisha magari ya usafiri wa umma (matatu) kupiga muziki wa sauti kubwa, akisema kuwa tabia hiyo inakiuka haki kadhaa za kikatiba. Katika ombi lake, Wakili Samwel Barongo Nyamari amelaumu Chama cha...
  10. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania CCM tusiruhusu majina matatu Urais, sio utamaduni wa Chama

    Ili kutunza Amani yetu ni vizuri likabaki jina moja tu. NB: Mboe aende CHAUMWA apitishwe chap kuwa mgombea Urais kuzuga wapiga Kura na wafadhili.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Majina yasiyopungua matatu vs majina yasiyozidi matatu, huyu alitaka kusemaje? Je Katiba ya chama haikuvunjwa?

    Wapendwa wana jukwaa, ni matumaini yangu mko salama. Lengo la uzi huu ni kutaka kueleweshwa endapo katiba ya chama haikuvunjwa kwa mujibu wa clip fupi hapa chini
  12. R

    JamiiForums Tanzania Yakienda majina matatu, hatoboi

    Tukichambua hali inayoendelea kwa sasa kwa mtazamo wa kawaida, imeanza kuwa wazi kwamba endapo watapeleka majina matatu kwenye Mkutano Mkuu, kuna uwezekano mkubwa wa mambo kutokwenda vizuri. Muendelee kuwa na siku njema.
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Matunda matatu yasiyopatikana kiholela mjini

    Haya matunda ukiwa mjini unaweza usiyale miaka kadhaa.
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Matatizo matatu makubwa kwenye Dira ya Taifa 2050

    1. Malengo yasiyo na uhalisia Nimemsikiliza Rostam Aziz anasema tume ya kutengeneza dira walikuwa wanalenga Tanzania iwe na ukubwa wa uchumi(GDP) kati ya $bilion 500-700, wao sekta binafsi wakina Rostam wakapendekeza malengo iwe GDP $Trilion 1 ! Haya ni malengo yasiyo na uhalisia, kwa miaka 25...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Polepole, usisahau nchi au taifa lolote la Maana Msingi wake ni Mambo haya Makuu matatu; Chama chako kinavunja Msingi Mkuu wa taifa, hayo ni matokeo

    Mpo Salama! Taifa lolote la Maana, ndoto ya watu ni lile linalojengwa katika Misingi Mikuu miitatu; 1. Utawala Bora na Sheria (Good Governance and Rule of Law) Huu ni kama msingi wa nyumba. Bila utawala bora hakuna amani, hakuna haki, hakuna maendeleo. Sheria hutuliza, huongoza, na hutoa...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapema hata kabla majina matatu hayajarudi wanaCCM wameonyesha mpasuko mkubwa

    Kauli hizi zimetawala Tanzania nima. Jina la huyu lisiporudi mimi nitakuwa upande wa fulani. Jina la huyu lisiporudi mimi sipigi kura. Jina langu lisiporudi mimi ninazila. Mpasuko mkubwa sana mapemaaa
  17. Kant Ombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu mambo ni matatu tu: Uligongewa, Unagongewa, au Utagongewa!

    Shalom shalom Wakuu, hebu tuweke uswazi pembeni leo tuambiane ukweli kama wanaume. Hili jambo la kugongewa limekua kama janga la kimya – halionekani, halisikiki lakini linatokea kila kona, kila siku, kila dakika. Unajua kuna level tatu mtu unapitia kwenye hii ishu: Uligongewa – Kama...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: Kuweka majina matatu kwenye Cheti

    Cheti cha kuzaliwa kina majina matatu. Vyeti vyote vya shule vina najina mawili. Ni taratibu gani naweza kufanya ili majina yangu ya vyeti vya shule niweke jina la tatu ambalo liko kwenye cheti za kuzaliwa. Kindly advise, please!
  19. L

    JamiiForums Tanzania Haya ni mambo matatu ya kuzingatia kabla ya Kufungua Kampuni

    Kampuni ni model ya biashara inayopendwa sana na ambayo infant ni rahisi sana ku scale. Lakini Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla hujafanya maamuzi ya kufungua Kampuni; 1. Capital Mtaji una play part kubwa sana ya Kampuni, ni lazima ujue unahitaji kuandika ni capital kiasi gani utaanza...
  20. nipo online

    JamiiForums Tanzania Ukifanya mambo haya manne kama hufanikiwi nipigie simu nikirudishe pesa zako

    1.Sadaka ya fungu la 10 2. Kusaidia wahitaji mfano yatima na wajane 3.Wazazi au walezi wako 4.Ujenzi au kuchangia kazi za Mungu mfano ujenzi wa nyumba za ibada. Hii ndo njia halali ya kutoboa kimaisha, anza na ulichonacho
Back
Top Bottom