Magoli Matatu Si Mchezo! ⚽😅

Magoli Matatu Si Mchezo! ⚽😅

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
16,674
Reaction score
39,443
Magoli kama yale ya Azam dhidi ya Yanga ya mda mfupi uliopita si rahisi kuyafunga, yalikuwa mengi sana 😅⚽️

Magoli matatu si mchezo!
Wewe umecheza mechi gani ukafunga magoli kwa ufanisi kama Azam? 🤭

Ulikuwa unashindania kombe gani hasa? 😄

Mimi napenda mechi zenye magoli mengi, zinakuwa na burudani muda wote

Wewe je? 🤪⚽️

Weekend inaishiaa
ShesRise_1 ✋️
 
Aisee

Hv ishu hua n idadi ya magoli au muda unaoutumia kufunga hayo magoli?

Mfano, nifunge magoli matatu ndani ya dkk 10 na mwngn afunge magoli matatu ndani ya masaa mawili, yupi yupo vzr?

Nazungumzia magoli yanayosemwa Na mtoa mada baada ya kusoma uzi vzr
 
Aisee

Hv ishu hua n idadi ya magoli au muda unaoutumia kufunga hayo magoli?

Mfano, nifunge magoli matatu ndani ya dkk 10 na mwngn afunge magoli matatu ndani ya masaa mawili, yupi yupo vzr?

Nazungumzia magoli yanayosemwa Na mtoa mada baada ya kusoma uzi vzr
Jiulize kwanini mchezo una dakk 90 na nyongeza juu hii ni kutaka mchezo unoge na kuonesha ufundi wa wachezaji wa pande zote mbili

Magoli makalii ya kideoni kama lile la chama linaitaji mwili upate moto mchezaji aingie mchezoni ndio afunge

Sasa akifunga haraka kwa dakk 2 ya mchezo unamalizika hata 🍿 haijaisha inakua sio ✋️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom