Na pia ukutane na uwanja mpana utachezewa nusu uwanja hufiki goliniNimefanyaje mkuu😁
😂 bongo sipo sanaaa,nipo ulaya shost.Hapa naanza kukesha kombe la Dunia
Hapa mpaka nikarisit niongeze D ya pili sijaelewaIssue ni mda na idadi ya magoli yaani ni mapacha football ambao haina magoli inakua kama mate haina ladha
Pole niliwahi kuona kuna mchezo uwanja ulijaa maji msimamizi akasema wataweka magodoro kunyonya maji sikumbuki uwanja ila nahisi ulifungiwaNa hasa ukiwa umejaa maji ni mwendo wa kuogelea kama chura hadi bao la 1 utaliona halina thamani
Haaaaaaaaah KaitabaPole niliwahi kuona kuna mchezo uwanja ulijaa maji masimamizi kasema wataweka magodoro kunyonya maji sikumbuki uwanja ila nahisi ulifungiwa
Huko mkoni
Wamefyatuka kama mshaleeSema nlikuwa nawatamani sana fainali hawa utopolo, shem darling wangu.
Subiri dirisha ukajiungeMeanwhile.....goal keeper mimi!!!View attachment 3612562
Baado tuna nafasi ya kushuhudia magoli mengine zaidiNBC mzunguko wapili wamekutana tayari au bado
Jibu tayari liko hapo kuwa tulimani Yanga kwa vile tuna ishu naye siyo kwa sababu ni dhaifu maana kwenye NBC tuliashamaliza nao nafasi pekee ya kukutana naye ilikuwa hii lakini ndiyo hivyo Azam kamuokoa.Hujajibu swali mkuu
Haya maji yamemwagika tusubirie next time!Daaah 😭😭😭 imekuwaje tena 🚶♀?
Walau hilo linalopatikana kwa mbinde watasema game ilikua tafuuuuu sana🏃♀️🏃♀️Muhimu magoli, ila goli moja linalipotikana kwa mbinde linaweka kumbukumbu ya mda mrefu sana!
Na baado 😀Haya maji yamemwagika tusubirie next time!
simba bingwa msimu huuBaado tuna nafasi ya kushuhudia magoli mengine zaidi
Sawaaa mzungu😀😂 bongo sipo sanaaa,nipo ulaya shost.Hapa naanza kukesha kombe la Dunia
♥️♥️🔥🔥simba bingwa msimu huu
Ongeza wachezajiNa pia ukutane na uwanja mpana utachezewa nusu uwanja hufiki golini
Magoli kama yale ya Azam dhidi ya Yanga ya mda mfupi uliopita si rahisi kuyafunga, yalikuwa mengi sana 😅⚽️
Magoli matatu si mchezo!
Wewe umecheza mechi gani ukafunga magoli kwa ufanisi kama Azam? 🤭
Ulikuwa unashindania kombe gani hasa? 😄
Mimi napenda mechi zenye magoli mengi, zinakuwa na burudani muda wote
Wewe je? 🤪⚽️
Weekend inaishiaa
ShesRise_1 ✋️