Alichoongeza ni kuwanyima wafanyakazi annual increment na kupandisha madaraja kwa wakati na pia kuwauwa wapinzani wake kwa kuwatuma watu wasiojulikana na kumshambuli kama TL
 
Huwa siamini tuhuma nyingine juu ya huyu rais kipenzi chao waliomchagua. Imekuwa kawaida sana siku hizi watu wengi hapa tz yetu kudai magu kaleta hali ngumu kimaisha. Siku hizi, mimi nashindwa kuelewa kabisa, hii hali kuwa ngumu magu kaletaje.

Maana lidhiki ya mtu unayo wewe mwwnyewe. Kwa kufanya kazo kwa bidii. Yako mengi na mimi yanayonifanya nisimuunge mkono sana. Lakini mengine Watanzania mnamsingizia raisi wenu, hajasababisha wala kufanya hari ya maisha kuw ngumu, FANYA KAZI BILA KUCHAGUA UONE KAMA HALI ITAKUWA NGUMU.


Voice from village, samahani mwandiko lakini.
 
Hata nchi ikikaimiwa na makamu wa rais hayo yote yangetokea na zaidi.
 
April 11, 2020

ZITTO KABWE AICHAMBUA RIPOTI YA CAG 2018/19
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Mh. Zitto Kabwe (Mbunge Kigoma Mjini), akichambua ripoti ya CAG kwa mwaka 2018-19 na Ripoti za CAG kwa miaka 5 ya serikali ya awamu ya tano .
Hivyo uchambuzi huo unalenga ktk maeneo makubwa kumi muhimu :


Source: Mwanahalisi TV
  1. Kuporomoka kwa makusanyo ya kodi : hivyo serikali kushindwa kukidhi mahitaji ya bajeti na hivyo bajeti kukosa maana inayo kusudiwa ya uwiano wa makusanyo dhidi ya matumizi pia ufanisi wa kukusanya kodi.
  2. Deni la Taifa ktk awamu ya tano ya serikali ya CCM linakuwa kwa kasi kubwa yaani asilimia 12% kuliko kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi ulio ktk wastani wa asilimia. Serikali imeanza kushindwa kulipa madeni ya ndani mfano kulipia Hati Fungani yaani Government Bonds jambo lililo hatari maana yake wananchi na wanunuzi wengine wa hati fungani kukosa imani ya serikali kuweza kulipwa amana zao. Serikali inadaiwa kiwango kikubwa na watoa huduma ikiwemo wakandarasi, makampuni na watu binafsi. Wakala wa Barabara yaani TANROADS ni mdaiwa sugu mwenye deni kubwa yaani Bilioni 900. Serikali pia inaficha kipande cha madeni ya Hifadhi za Jamii yanayofikia trilioni 3 shilingi za kiTanzania na wastaafu kuwa ktk hatihati ya kushindwa kulipwa malipo yao.
  3. Ufisadi umerudi nchini kupitia transit goods kwenda nchi jirani umeongezeka sana kufuatana na taarifa ya CAG. Kiasi cha bilioni 300 ni kimepotea ktk awamu ya 5 huku awamu ya Jakaya Kikwete upotevu ulikuwa bilioni 45 tu.
  4. Kesi dhidi ya serikali yaani contingent liability kimefikia trilioni 1.8 za shilingi za kiTanzania kutokana na kutotii mikataba na wadai kukosa imani ya kulipwa.
  5. Manunuzi yasiyofuata sheria yafikia Shilingi Trilioni moja kwa unapproved suppliers.
  6. Serikali inaendelea kutumia fedha za umma bila kufuata katiba ibara ya 135 yaani kupitia mfuko Mkuu wa serikali yaani Consolidated fund bila idhini ya Controller and Auditor General.
  7. Ukaguzi wa Benki Kuu ya Tanzania umefanywa na GAG bila kutumia kampuni za Ukaguzi za binafsi Deloitte, KPMG n.k hivyo kukosa uwazi na uhuru wa kufanya ukaguzi huru unaoaminiwa na IMF, WORLD BANK na wabia wengine.
  8. Korosho zanunuliwa na fedha kutoka Benki Kuu na fedha hizi hazijarejeshwa Benki Kuu
  9. Ndege kununuliwa bila taratibu za kifedha zilizo wazi.
 
Ukirejelea tawala ya adolf htler, benito mussolini,na ule utawala wa majeneral kule japan basi usingesema magufuli kaminya demokrasia, anatumia nguvu, kaminya vyombo vya habar na hizo kejeli zingine zinazotolewa. Upande wangu anachokifanya magufuli ni big up hakuna kati ya walio pita.

Pia, wanajamii miongoni mwetu sie ni majip ya mawazo, kama 2po p1 hautashangaa kusikia tulivyosema kheri aje kiongoz dikteta kuliko huyu j.k. Ni social xana leo mnaona babazenu na mamazenu wanalalamika et ooh! pesa hamna na wewe unasuport kumkoxoa effectiv pombe leader ona aibu. Mzee anapiga kaz tena zaid ya mawazo yako ya kijinga. Nuru ikuangazie
 
Ajira za walimu wa masomo ya sanaa na wengine masomo ya sayansi hakuna kuanzia mwaka 2015 up to now,, mmmmmmm hatwarii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…