safi sanaaaa
 
Hivi uchumi wa wananchi upo vile kwa serikali ya uchumi wa kati maana ndio tunaelekea sasa 2020 kuwa geniva ya afrika aka donor country!!!!!?
 
Amejitahd kuongeza kujudi kwenye makusanyo ya kodi ikiwa n pamoja na kuwaza namna ya kupata hela kiurahis kutoka kwa wajasiliamali wadogowadogo
Amefanikiwa kuongeza deni la taifa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna LA maana kweli,sioni!!!!!!'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…