Weka na Bissouma hapo.Wakimpata na digne nasikia wanamuhitaji...watakuwa wazuriView attachment 2072002
Hahahaaaa! Watu ni wahuni Captain.You have made my day.
Wanatisha sanaaaaaa.
YNWA
Msamehe, hajui asemacho.Sidhan Kama unakijua ukisemacho...au labda unatania...,maana siamin MTU Kama wewe ukawa na haya mawazo...LAKIN NGOJA NIKUBALIANE NAWE..NIKWELI TUNAWAOGOPA ARSENAL...NA NDIO MAANA MPAKA UWANJA WA MAZOEZ UMEFUNGWA..ASENO WANATISHA MKUU
Ila kweli wewe ndo mbuzi. Hakuna hata kocha mmoja mzima. Wote ni corona positive test. Ulitaka ukae wewe benchi la ufundi. Acha kupata habari za Liverpool gizani.Mechi ya Chelsea kulikua na covid case kibao na injury ila wakaambiwa wachukue watoto wa u18 wacheze ila hawa mbuzi wanawaogopa arsenal wameomba mechi ihairishwe na wamekubaliwa
Bwana wee naona sie Corona ikituchapa tupeleke timu tu uwanjani ila wengine timu zao wapewe muda ku recover haha aafu ikumbukwe tu gemu inakua kiporo hivyo hakuna advantage zaidi ya kutuletea mlidukano wa mechi.Hahahaaaa! Watu ni wahuni Captain.
Sijui wanadhani sisi maroboti hawa!Bwana wee naona sie Corona ikituchapa tupeleke timu tu uwanjani ila wengine timu zao wapewe muda ku recover haha aafu ikumbukwe tu gemu inakua kiporo hivyo hakuna advantage zaidi ya kutuletea mlidukano wa mechi.
YNWA
Waoga tu hiyo haina jina jingine, kocha akipatwa na corona ndie anacheza?Sijui wanadhani sisi maroboti hawa!
Hawaoni kama wachezaji wanaumwa!
Uanataka wachezaji waingie wazimie uwanjani?Waoga tu hiyo haina jina jingine, kocha akipatwa na corona ndie anacheza?
Tutawasubiri Sunday, mtakuja tu hamuwezi kukwepa
Tarehe 13, awe Klopp kapona au la mtaletwa chini ya ulinzi mkali ili sisi Arsenal tutimize jambo letuUanataka wachezaji waingie wazimie uwanjani?
We unaweza kucheza ukiwa hoi unaumwa?
Subiri tupone tuwanyooshe nyie Asenali wabovu.
Usije kimbia baada ya mechi.Tarehe 13, awe Klopp kapona au la mtaletwa chini ya ulinzi mkali ili sisi Arsenal tutimize jambo letu