huyu jamaaa Bado yupo aiseeeee
huyu jamaaa Bado yupo aiseeeee
uyu anamuogopa bale kama ukoma
Hivi mechi saa ngapi?
Hakuna mtu anayechukiwa na fans wa liverpool kama huyu jamaaYupo sana tu
😇👊Kumi na moja mubashara s223.
YNWA
Mnacheza na mitoto ya kindergarten mmepigwa na goli moja # livakukuLiverpool tusivyo na mbwembwe tumetulia tuli yaani.
Wangekuwa wale micharuko timu mbovu basi ingekuwa kelele.
Baba mtumish Pep Bwana Yesu asifiwe babaView attachment 2074994
Hiyo 4 hujaiona?Mnacheza na mitoto ya kindergarten mmepigwa na goli moja # livakuku
Tulia wew na saiv maneke Yuko afcon na mudi sarahafina mtakua mnaoga kila siku mvua ya magoli saiv livakuku mtatupa Sana hela kwenye mikekaHiyo 4 hujaiona?
Nyie nyumbu mlicheza na wolves wakawatandika na bao mkatoka na sifuri yaani nunge
Mtaniambia nini nyie nyumbu wa kuitwa manchester
Acha ramli.Tulia wew na saiv maneke Yuko afcon na mudi sarahafina mtakua mnaoga kila siku mvua ya magoli saiv livakuku mtatupa Sana hela kwenye mikeka