Klopp boys has matured how to squeeze any opponent and get the deserved points when its matters...

Arsenal bado sana wanahitaji muda wa kujenga kikosi aafu ndio waanze mipango ya kuusaka ubingwa kwa sasa target yao iwe big 4..

Wakimpata Housem ama Partey watakua wanazidi kujiimarisha na kuleta ushindani mkali EPL...

Wenzio tunasonga mbele..

Wiki hii tunao tena Carabao hivyo burudani inaedelea..

YNWA
Nimeona wameanza kujipa matumaini eti mechi za Carabao huwa hamna mpango nazo kwa hiyo mtawaachia.
 
Adjustments.jpg
 
Nimeona wameanza kujipa matumaini eti mechi za Carabao huwa hamna mpango nazo kwa hiyo mtawaachia.
Hahaha msimu huu kwa vile kikosi ni kipana haswa tuna wachezaji kama 30 hivi hivyo tunahitaji hizi Mickey Mouse trophies ili wachezaji wote wawe na dakika uwanjani...

Carabao wanalala tena hakuna namna..

Mikel bado ni amateur coach ana safari ndefu dalili sio mbaya kwake ila awe realistic anachokitaka je big 4 ama Mickey cups..


YNWA
 
Hahaha msimu huu kwa vile kikosi ni kipana haswa tuna wachezaji kama 30 hivi hivyo tunahitaji hizi Mickey Mouse trophies ili wachezaji wote wawe na dakika uwanjani...

Carabao wanalala tena hakuna namna..

Mikel bado ni amateur coach ana safari ndefu dalili sio mbaya kwake ila awe realistic anachokitaka je big 4 ama Mickey cups..


YNWA
Muhimu kuwakazia ili akili ziwakae sawa. Zile mechi za Final ya FA pamoja na Community Shield zikawaaminisha wamekamilika sasa wanaweza kumpa jeuri yoyote wanasahau maisha kufika ni mbali safari bado ni ndefu.
 
Muhimu kuwakazia ili akili ziwakae sawa. Zile mechi za Final ya FA pamoja na Community Shield zikawaaminisha wamekamilika sasa wanaweza kumpa jeuri yoyote wanasahau maisha kufika ni mbali safari bado ni ndefu.
Mwisho wa siku tunakaa chini kila mtu ahesabu alichovuna,

Hii uliyoandika hapa ni mikojo tu
 
Hahaha msimu huu kwa vile kikosi ni kipana haswa tuna wachezaji kama 30 hivi hivyo tunahitaji hizi Mickey Mouse trophies ili wachezaji wote wawe na dakika uwanjani...

Carabao wanalala tena hakuna namna..

Mikel bado ni amateur coach ana safari ndefu dalili sio mbaya kwake ila awe realistic anachokitaka je big 4 ama Mickey cups..


YNWA
Timu yenu bado sana, tukiacha ushabiki...
Eneo la ulinzi linachuja vibaya mno, Lacazette kapata clear chance mbili akiwa yeye na Becker, boooom

Hii sio liver ya kusema haya uliyoyasema labda kiushabiki tu,

Hongera kwa ushindi, kila mtu ashinde kwake
 
Hapana hapa umeamua kumuangushia jumba bovu tu Gomez! Zile penetration pass zote zimepita upande wa Robbo na Vvd

Gomez ni moja kati ya watu waliocheza vizuri sana ile game... Angalia jinsi Auba na Niles walivyofichwa jana



Hapana hapa umeamua kumuangushia jumba bovu tu Gomez! Zile penetration pass zote zimepita upande wa Robbo na Vvd

Gomez ni moja kati ya wachezaji waliocheza vizuri sana ile game... Angalia jinsi Auba na Niles walivyofichwa jana

Goli la Laccazette alichomesha Robbo na hiyo niliieleza kwenye Post zangu baada tu ya tokeo kutokea.

Kama umesoma vizuri nilichokieleza basi nimezungumzia Chance ya pili tu ambayo kwa Standard zangu ndiyo nimeihesabu ni Clear chance.

Hile penetration ndugu haikutoka Pembeni (Kwa Robbo) imetoka katikati na ikapenyezwa upande wa kulia ambao kuna Gomez.

Labda iwe tumeangalia game tofauti.

Mimi sinaga tabia ya kusema vitu nisivyoviona lakini kama huona makosa ya kiulinzi anayoyafanya Gomez basi sins cha kukusaidia.

Kumbuka Sijasema Gomez kafungisha.
 
Timu yenu bado sana, tukiacha ushabiki...
Eneo la ulinzi linachuja vibaya mno, Lacazette kapata clear chance mbili akiwa yeye na Becker, boooom

Hii sio liver ya kusema haya uliyoyasema labda kiushabiki tu,

Hongera kwa ushindi, kila mtu ashinde kwake
Mkuu timu kushinda jana na tukiwa tunacheza tia maji tia maji February ndio ujue ubingwa unarudi Anfield....

Kwanza nyie kupata clear chance sio bahati mbaya mbali ni mipango ndugu.. Na Allison kuokoa sio bahati mbaya mbali ni kipa wa levo hizo hatutegemea afungwo kirahisi,.. Kuokoa tena kutoka kwa Lacazatte ndio ujue tulimaanisha pointi 3 zinabakia home jana...

Tangu mwezi wa pili ndugu kuna loss of form timu yetu hilo lipo wazi lakini hatutegemea wachezaji wote wapoteana kwa pamoja hivyo jana wame step up sawa sawa kwa pamoja kasoro Keita kwa mbali naona bado ana struggle kuedana na timely intensity lakini bila shaka litapita na atakua powa..

Mikel alikosea karata zake kukosa kumuanzisha Ceballos, dogo ana pasi tamu balaa...

Tukutane Carabao...

YNWA
 
Timu yenu bado sana, tukiacha ushabiki...
Eneo la ulinzi linachuja vibaya mno, Lacazette kapata clear chance mbili akiwa yeye na Becker, boooom

Hii sio liver ya kusema haya uliyoyasema labda kiushabiki tu,

Hongera kwa ushindi, kila mtu ashinde kwake

Mkuu Kama eneo la ulizi liko vibaya mbona kashindwa kufunga,au becker sio sehemu ya ulinzi wa Liverpool?

Mkuu unaposema timu yetu bado unamaana gani? Hao ndio mabingwa wa dunia,wanachoakikisha wanatoka na point 3.

Timu yenu Tatizo mnamtegemea mtu mmoja tu.liverpool ukitaja kikosi cha dunia wachezaji kibao wanaingia,halafu ndio muwafunge kwao .
 
Record nyingine iliyowekwa jana usiku:

Mchezo wa jana ulikuwa ni mchezo wa 50 kwa Jurgen Klopp kwenye mechi za ligi dhidi ya zile big six.

Amepoteza michezo 8 tu dhidi ya wapinzani wake.

Na tangu Jurgen awe Kocha wapinzani wake Man City wamepoteza michezo 17 kati ya 48,
Man Utd wamepoteza michezo 15 kati ya 47,
Chelsea wamepoteza michezo 20 kati ya 49,
Tottenham wamepoteza michezo 20 kati ya 48 .
Na Arsenal wamepoteza michezo 23 kati ya 48
Idadi hii ni kwa hizi team zilipokutana wao kwa wao '(big-6')
YNWA
 
Back
Top Bottom