Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Dah! Msimu huu sina Full Fixtures yetu ya EPL, Next game tunacheza na nani?
 
muwe munatupunguzia adhabu sisi kajamba nani, kwa mwenendo huu kuna baadhi ya timu hata golini hazitofika

huyu klopp mkataba wake unaishi lini ili aje gerrard?
1601396527197.png
 
Kwa hiyo wewe ukisajili ndio wachezaji ila wenzio wakisajili ni machezaji,
unaonekana unaumizwa timu zikisajili kama anavyoumia kocha wako vile
Nafurahi tu kuona watu mkiuziwa mbuzi kwenye gunia.hakuna la zaidi
 
Game na Everton pekee ndo inanipa kuwaza maana itakuwa ngumu sana
Bwana wee jamaa wamekamilika pale kati kuna Allan ni HM wa nguvu mbele unakutana na Andre Gomez na James lol jamaa msimu huu bila majeruhi naona wakileta ushindani wa nguvu...

Ile highline defence kwa hawa jamaa itabidi Klopp drill zifanyike mapema za nguvu sana..

Mbele wapo Dominic na Richarlison wapo fire kweli kweli..

Hio gemu natarajia ushindi tukikosa kosa basi draw sio mbaya kwetu...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom