Kwa kuwa FA ilibadilishwa jina, Liverpool hajabeba Emirates cupTulibezwa sana. Sasa ni haki yetu kubeza kwa kukera...
Eti ni timu gani inajiona kigogo ya Uingereza ambayo haijatwaa kombe la EPL tangu Kikwete akiwa Rais?
Unajua watu wengi wanafeli mitihani sio kwamba hawajui, ila hawajui kujibu swali....Kwa kuwa FA ilibadilishwa jina, Liverpool hajabeba Emirates cup
Liverpool hajabeba Carabao cup
Aston Villa hajabeba UCL
Nottingham Forest hajabeba UCL
Uruguay hajabeba World Cup
Wachana na wazee wa magarasa haoMkuu Willian angekua mfungaji mzuri Chelsea isingemuacha. Angekua mfungaji mzuri Barca wasingesita sita wangepeleka offer moja moja Chelsea.
Anajitahidi lakini hajawahi kuwa bora walau hata kumfikia Daniel James
Sasa ukiwakuta wenyewe wanavyo msifia unaweza hisi ni bonge la mchezaji callibre ya kina Sancho, Sterling au Bernado Silva.Wachana na wazee wa magarasa hao
David Luiz, Willian, na kuna tetesi wanamtaka Bakayoko na Kepa
Wanataka kutuaminisha mabua ni matamu kuliko miwa

Blackburn RoversUnajua watu wengi wanafeli mitihani sio kwamba hawajui, ila hawajui kujibu swali....
Narudia swali: Ni timu gani Uingereza inayojiona Kigogo wa soka ambayo haijawahi kutwaa kombe la EPL tangu Kikwete akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Daaaah tunakabia juu sana, counter attack tusipokuwa vizuri laccazete kakosa two chance ambazo striker mzuri zote goli.
Sheffield mpaka sasa hawana hata point moja. They are not the same na mwaka jana.Timu inayonipa pressure EPL ni wale watoto wa Sheffield na Wolves.
Hizi timu hazina majina lakini wanatandaza soka la kuaminika na wako vizuri mnooo
still wako vizuri sanaSheffield mpaka sasa hawana hata point moja. They are not the same na mwaka jana.
jamaa ni finisher.Hii namba 20 haijampendeza kabisa huyu jamaa, Angalau angelivaa 15 kama Sturridge.
Mikel bado anajitahidi kama akipewa sapoti sokoni naona Big 4 inawahusu..Mkuu haya ni manati sio mtutu! Kuna kufungwa halafu kuna kudhalilika. Leo tumedhalilika.
Klopp boys has matured how to squeeze any opponent and get the deserved points when its matters...Mkuu hongereni naona mapambano yanaendelea. Kuna mchambuzi alisema kama unaweza kupata points kwa big six una nafasi nzuri kuchukua ubingwa.
Mi nafurahi mmewapiga wapiga kelele na watukanaji majukwaa ya michezo. Vile vitoto vitaanza kujifunza kuwa na adabu sasa.
Nope doc that the only way our dynamic full backs can be a thorn in the opposition box..Can we stop keeping the high line please?? Somebody tell klopp
Mtihani uliopo ni je Real Madrid watamudu kutoa £91m kwa Mbappe na £80m+ kwa Mane..Kwanini Jota ameingia kama Sub ya Mane na kwa muda wote kacheza Wing ya kushoto aliyokuwa anacheza Mane ingawa ni Striker?
Hili limenipa wasiwasi na kunipa fikra zifuatazo:-
√ Dalili ya Kuuzwa Mane: Imenipa hisia kuwa Huenda next season Mane akauzwa Barca au Real na hii pengine ni makubaliano na Timu/Klopp kipindi anasaini Mkataba alionao Kwani kulikuwa na mvutano wakati wa kusaini huu Mkataba.
Hivyo huenda Jota kasainiwa kimkakati na kuanza kupewa majukumu ya Mane kwa kubadilishwa from Striker to Winger.
√ Huenda Klopp ana mpango wa Kununua New Striker next summer/Winter: Kitendo cha Jota kuto kumchezesha Striker ni dalili kuwa Klopp ana mpango kabambe wa kununua Striker.
√ Minamino ndiye Striker anayeandaliwa: Pia Jota kutokuchezeshwa Striker huenda Klopp ana imani na Minamino kuwa ndiye his new Centre Forward.
MWISHO:
Hayo yote ni mawazo yangu na sio lazima yawe sahihi.
Hapana hapa umeamua kumuangushia jumba bovu tu Gomez! Zile penetration pass zote zimepita upande wa Robbo na VvdIle Chance ya pili ya wazi kabisa aliyokosa haikuwa Kaunta Kwani walikuwa kasimama kabisa na Mabeki akawatoka kizembe kabisa.
Tatizo nililo liona ni kwamba Gomez hajui kabisa kukaba Zonal Marking wakati maadui wanapokuwa na Mpira ndiyomana Lacca alikuwa anachomoka kwenye Defence kiurahisi tu. He's good in Man Marking and Tackle.