Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,564
- 28,522
at tym he makes t look so easy...but man huu usajili ni noma sanaa....i salute th guyHalafu huyu mtu anaitwa VVD....man...siwezi kumdescribe kiukweli.
at tym he makes t look so easy...but man huu usajili ni noma sanaa....i salute th guyHalafu huyu mtu anaitwa VVD....man...siwezi kumdescribe kiukweli.
total beauty esp wen t EPL...leo th pass master anacheza rafu..Jorginho getting bossed and finessed with Spurs 2 holding mids in a pivot.
but Fabinho got called a flop kwa kuwa bossed na 2 holding mids in a pivot against Arsenal.
Football is a beautiful thing.
sana tuu maana Watford msimu huu wapo vizuri ila Klopp ameshajifuza kua hizi timu "ndogo" kuzifunga inabidi uwe mvumilivu sana watabana mwishowe wataachia....Great win
Ha ha haaa mkuu mimi napata hofu na kocha anasajili wachezaji hafu hawaamini hafu tunapiga mbele tuu tofauti na msimu uliopita.Kuna wapenzi wa Liverpool, mioyo yao siyo ya kijogoo.
Hao ni pamoja na Manga ML,@ bardizbah@ King Ngwaba.
Kabla ya mechi humponda sana Klop.
Team ikishinda wanasema" watalala usingizi mololoo"
Klop ni mwl mzuri kupitiliza.
Sijaangalia game ya leo....nilikuwa napata notification za simu tu na kuchungulia live blogs tu....
But nilipoona Notification kuwa Liverpool tumepigwa umeme (Red card) nilipiga goti kuomba iwe ni Henderson ndo kala huo umeme tena uwe ule umeme wa straight RED CARD
Ili watu wanaojua kucheza mpira wa miguu wapate nafasi ya kucheza
Shwainnnnnn
HahahaKlopp out
Klopp out
Klopp out
0-3!
Firmino on top as always japo haonekani. Leo ame drop deep zaidi ya hendo kuchukua mipira chini na kupandisha team.
Captain ni shit kama siku zingine. Hakuna chenye analeta kwenye team zaidi ya negative effects tu..
Robbo and Trent on top once again.