Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Anyway naona km unaona team yako ndo ilikua na shida...
Lkn Klopp mwenyewe amekiri kuwadhibiti Chelsea ilikua kazi kubwa. Hazard mpk watu watatu ndo ilikua wanaweza kumzuia. Morata pia na Kante. Pia kupenya kwa Chelsea ilikua kz maana walikua wanalinda goli watu wanane.
Timu yangu ni kweli ilikuwa Ndiyo mwanzo wa Matatizo... Kwani Kutoka Sare si Kwasababu ya Ubora wa Timu Yenu Bali ni Kwasababu ya Uzembe wa Klopp.