
Wewee una bahati sana Jana wachezaji hawakua na mudi nzuri. Ungekufa nne mkuuRotating the squad is understandable with the schedule Liverpool face but why choose one of the biggest games of the season to do it??????
The Reds went into a gun fight without two of their most lethal weapons...
→→Mane and Firmino
Una lalamika wee jamaa ungeenda kucheza wewe ..utapigwa tuu huna kikosi cha maana kabisa.Katika Siku Wiki Ambayo Moreno Ametucost Zaidi Katika Maisha Ya Liveepool ni Wiki Hii....
Yani Jamaa Anacheza Left Back lakini Unafika Pahala unajiuliza Hivi kwenye hii timu Leo Haikuchezeshwa Left Back?
Jamaa anakwenda Juu Kushambulia ikishwa anashindwa Kushuka na Kumuacha Mchezaji Mbovu kama Zapacosta Kuweza Kucheza Mpira.....
Na Mida Mwingi anautumia Kaucheza Katikati Ya Uwanja utafikiria Yeye ni DM badala ya LB...
That is why hats goli la Willian Baada Ya Kumkaba aliishia Kukwepa Shuti alilopiga huku Klavan Akimuangalia tu...
Jamaa anazidi ku prove failureKlopp bottled another game in the last minutes. are you suprised?
4 transfer windows and bums like Mignolet, Lovren,Henderson, Milner still starting for this team, na bado watu wanawaza makombe?
shit results, late subs and poor game management from Klopp, have costed LFC another game.
Wewee una bahati sana Jana wachezaji hawakua na mudi nzuri. Ungekufa nne mkuu
Una lalamika wee jamaa ungeenda kucheza wewe ..utapigwa tuu huna kikosi cha maana kabisa.
Unadhubutuje Kusema Zappacosta ni mbovu? Zappa anafanana na player gain apo liver ...kuwa siriyaz aise.
Jamaa anazidi ku prove failure
Mimi nashindwa kumuelewa kabisa, nashangaa wanaodai aendelee kupewa mudaTena mwisho Wa Msimu huu He will be the greatest failure Manake atatoka Kapa Kama Msimu uliopita... Ataishia na sifa Yake Moja tu Ya Kukumbatia wachezaji Wabovu...
Na marahii Wale Wanaompenda Klopp Kisa tu Anaconcentrate Katika Kugombania Top Four! Basi Wajaiandae Kisaikolojia Kuwa Nafasi ya 6 inatuhusu... Hatuna uwezo wa Kuingia Top 4...
Tena Conte ni jasiri kinoma yaani anampanga Christensen ktk big game bila kujali km atafungwa itam backfire na kula kichwa chake kutimuliwa kz lkn Klopp haeziThe most Arrogant and Stupid Manager katika Timu zote zile Sita za juu (Top Six) basi ni Klopp wala Halina ubishi hill....
Makocha wanapigania timu zao ziwe Katika ubora lakini yeye anapigania ujinga..
Hebu Tumtazame Conte:
Mchezaji kama David Luis ni talented na Mzoefu Pale EPL... Lakini tazama ujasiri wa Conte! Baada ya Kugundua Kipaji na Uwezo wa Christensen Mchezaji Asiyekuwa na Uzoefu wowote wa Kuchezea EPL na Timu kubwa kama Chelsea! Basi ameamua Kumueka Benchi David Luis na Kumchezesha Christensen Bila ya Kujali Jina au umaarufu wa David Luiz.... Na sote tunaiyona Shuhuli ya Christensen anapokuwa Uwanjani..
Lakini Leo Stupid Klopp anashindwa hata kuwafanyia Sab achliambali Kuwaeka Juu wapumbavu Kama Henderson na Lovren watu ambao tokea waanze Kuchezea Liverpool haijawahi Kutokezea Timu yoyote barani Ulaya kubid kwa Wachezaji hao! Hii inaonesha Dhahiri Kuwa ni wachezaji Wasio na thamani yoyote Katika ulimwengu huu wa soka...
Kwanini Klopp hakuwapanga hao sasa akawaanzia benchi?Sasa nina Bahati Mimi au Wewe uliyechomoa Dakika za lala Salama?
Wewe kiazi kweli!! Hivi hukuona kuwa Jana ulikuwa Katika Wakati mgumu mpaka ukabahatika Kurejesha lile goli???
Tena Mshukuru Sana Yule Mpumbavu Klopp Kwa Kuwaeka Juu Mane na FirminoFirmino kama aliyekuwa Kabeti... Venginevyo ungelikuwa unaongelea mengine sasahivi...
hii inaitwa kaa mbali na defensive machine maana kui unlock ni shida. Haichelewi geuka nakua
Kwanini Klopp hakuwapanga hao sasa akawaanzia benchi?
![]()
![]()
![]()
![]()
hii inaitwa kaa mbali na defensive machine maana kui unlock ni shida. Haichelewi geuka nakua
![]()
![]()
![]()
![]()
Conte tactics master
Anyway naona km unaona team yako ndo ilikua na shida...Tulifanikiwa KuiUnlock... Ni uzembe wa Kipa na Mibeki Yetu Mibovu tu yaliyoshindwa Kulilinda Goli...
Na Ubovu wa Washambuliaji Wetu tu Sturridge na Chamberlain Kumtegemea Salah Peke Yake Ndiyo kilichofanya Ukapata ujasiri wa Kushambulia Kwani Mabeki Wote Walikuwa Wakimkaba Salah tu! Lakini Sturridge na Chamberlain Hawakushuhulika nao Waliwaacha Warukeruke tu uwanjani na Kwenda Mbio Kama Makatuni coz wanawajua Kuwa Hamna lolote.. Hapo Ndiyo Kina Alonso na Kante Wakaona Hakuna Shida ya Kuongeza Nguvu Kubwa Ya Ukabaji Kwa Mfungaji wenyewe ni Mmoja Salah! Christensen na Cahill wanatosha Kumdhibiti.. Wao Wakaamua Kucheza Box-to-Box Na Kushambulia mpaka likaingia goli..
Mkuu juzi Chelsea Haikucheza Hasa Mfumo Wa Kupaki Basi Coz Walituona Kuwa Hamna kitu Klopp amechemsha...
Lakini Klopp angeacha Kiburi Cha Kubahatisha Kikosi na Angewaanzisha MANE - FIRMINO - SALAH pale mbele! Basi Conte angepaki basi mwanzo Mwisho Kwani Kante na Alonso pamoja na Bakayoko wasingelithubutu Kuondoka Kwenye Defense hata Mara moja na kuwaacha hao jamaa..
Na lile goli uaingelirudisha Kwani usingeweza kushambulua, na ungeshambulia basi Mane na Salah wangelikuchomeka jengine...
Kwahiyo Mechi ya Juzi Conte hakutumia Tactics zozote! Bali alipoona kikosi chetu tu akajua ni jeshi la Mtu mmoja. Kwahiyo Kazi ikawa nyepesi kwake...
Anyway naona km unaona team yako ndo ilikua na shida...
Lkn Klopp mwenyewe amekiri kuwadhibiti Chelsea ilikua kazi kubwa. Hazard mpk watu watatu ndo ilikua wanaweza kumzuia. Morata pia na Kante. Pia kupenya kwa Chelsea ilikua kz maana walikua wanalinda goli watu wanane.